ushauri wangu kwa dada "USITEME BIGJII KWA KARANGA ZA KUONJESHWA"
Moyo u radhi...mwili ni dhaifu....
ushauri wangu kwa dada "USITEME BIGJII KWA KARANGA ZA KUONJESHWA"
dada mubaya tena mubaya sanaaaaaa
natamani kumjua huyo dada nami nimege kwa raha zangu naamini kwa huyo jamaa yake hatarudi tena:director::loco::music:Teamo huyu je huyu ana sifa za kujiunga katika kile chama chenu cha Infi?
Nimeipenda hii Kimey;
ungeuliza ambaye anaona hajawahi kucheat hata mara moja asogee mbele, ungejionea maajabu........................ (hii haimaanishi mimi na-cheat)
Hakuna cha kumshauri,tayari ni kahaba n a hana sifa,asije kumuua mwenzake kwa magonjwa!!!
Nenda kwa huyo BF wako, na umsimulie haya yote, na wala usiogope kwani kama hukuogopa kufanya, utaogopaje kusema?...! Kuanzia hapo yeye atajua atakusaidia nini, na nature will take place....! Hata ukiachwa ni haki yako, maana kama wewe ulishindwa kuvumilia ukahaba huo, ndio unataka yeye avumilie? Mliungana na kuahidiana kuwa shida zote mtashare pamoja, hii mbona hukumshirikisha? Au sio shida? Au ndio ulidhani utaweza bila yeye? Ulitembea uone mengi, na sasa umeyaone...! Na ukizidi kutembea utayaona zaidi ya hayo, hata ya kote-kote na vuvuzela yatakupata...! Pia utakuja twangwa kwa rungu zilizoongezwa size kwa dawa za kichina, halafu uhalisia utakosa nafasi kwenye mapenzi yako...! Shauri yako...!wana jf mtamsaidiaje huyu mdada.........??
Me ni msichana mwenye umri wa miaka 27 have been dating a man for about miaka minne now, my boy friend is very good looking and very attractive. Ila tatizo linakuja kwenye mambo ya kitandani, before nilikua sijui kama anatatizo lolote kwa sababu yeye ndo man wangu wa kwanza, kweli wahenga wamesema tembea uone. Kuna siku nilicheat na mwanaume mwingine tena ni bwana wa rafiki yangu kwa kweli alinipagawisha sana mpaka leo namthamini sana kuliko boyfriend wangu maana, siku hizi nikiwa nae kwenye kumi na nane zetu simuenjoy kabisa huyu bf wangu.Guys naomba ushauri wenu maana huyu kaka mwingine hawezi kunichukua kimoja coz anamdate my friend though ndo nampenda Sana kuliko wangu.......