Huyu mama mkwe simuelewi

Huyu mama mkwe simuelewi

Intelsat

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
323
Reaction score
533
Wana Jamvi kwema,

Niko Nyumbani kwa kina wife nimekuja kidogo kusalimia upande wa ukweni ni siku ya pili sasa nipo hapa ukweni, Wife anamzazi mmoja yani mama tu na babake nafikiri alikushavuta shuka long kidogo.

Sasa wakati naleta mahari ukweni mama mkwe aliniomba namba za simu mimi sikuwa na hofu nilimpa ni takribani miaka miwili kwanza nikili huyu mama mkwe ni mama wa mjini haswa alipochukua number nilianza mawasiliano nae.

Japo sikumpa attention wala sikuwaza kama ataleta hizi habari anazoniletea sasa, Jana nimeamka hapa ukweni nikaanza kuchukua mazoezi nje asubuhi sana huwa ni kawaida yangu nilishangaa mama mkwe anatoka na kanga tu kwenye fance.

Nilihisi aibu nikawa kama natroat aliniita tukasalimiana kisha akaanza kunisifia nilivyojengeka kimwili nilishangaa kwa kweli nilivuta picha na text zake za nyuma alizokuwa ananitumia mara moja nikajua huyu kadata na pengine pale kunikuta napiga tizi alikaa kidogo hapo nje na kurudi ndani mwanae asishtuke.

Sasa leo kanitext kuwa anamaongezi na mimi kesho saa nne asubuhi hotel fulani nimemjibu hivi mwanao atakuelewaje kanijibu nutamtuma sehemu naomba tukutane.

Nimemkomalia kumuliza kwani anashida gani adai ataniambia kesho, sasa wadau niende.
 
Umejiuliza sababu za baba mkwe kutangalia jufunikwa shuka!BE WARNED AM SEEING DANGER ZONE AHEAD OF YOU
I dont prefer dry fucki*ng i do it only for own wife, Thanks for ur advice what danger are u seeing?
 
*_Wanawake bwana kwa kulalamika eti "ooh nimebeba mimba miezi tisa" Sisi mbona tumebeba mapumbu tangu wadogo na Adi Sasa hatulalamiki_*

*badilishen kauli*
Mungu wangu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom