Huyu Madabida ni nani?

Huyu Madabida ni nani?

Moony

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
1,599
Reaction score
436
Jana mh mmoja mjengoni kwa jina la Madabida alikoroma sana hadi Zungu akakereka.
Naskia ni Mndengereko, nduguye Nyanchoka ( Mama Salma).
Aliongea sana kwa jazba akiunga hoja mia kwa mia na kuwakoromea wote wanao criticize bajeti. Nilivyomuona anatafuta umaarufu ili mh Rais amuone ili ampe uwaziri.
Akipewa uwaziri huyu wizara itaendeshwa kwa jazba na visasi. Amechukia sana watu ku quote mawazo ya kamati yake. Pia anadhani watu wanaotumia mtandao ni wajinga wasio na kazi.

Kuna mtu anamjua vizuri? CV yake n.k?
 
Haya ndio mapashukuna yetu hapa Dar na huu ndio mtandao wa ukabila na udini ambao upo CCM mkoa wa Dar es salaam, ila mungu mkubwa Mume wake bwana Madabida aligombea ubunge kwa tiketi ya CCM kule Rufiji au Kilwa kama sikosei na akapigwa chini na mgombea wa CUF. ukitaka kulijuwa jimbo lake fuatilia majimbo ya CUF 2 huku Tanganyika kuna Lindi Mjini na la pili nimesahau jina lake, hapo ndipo alipofia Madabida. Nilifurahi sana huyu jamaa kupigwa chini.
 
huyu maza si ndio anamiliki kiwanda cha dawa cha arusha TPI?
 
Huyo maza ni mkewe Ramadhani Madabida ambaye wasifu wake umeelezewa hapo juu na Kintinku
 
Mr. Ramadhani Mabadiba - Trustee

Mr. Ramadhani Madabida studied business policy from the Curtin University of Technology, Australia where he attained a Master's degree in Business Administration in 1981. He has as well a Graduate Diploma in Business Administration from the same Institute having specialized in the management of marketing distribution channels. He has a wide administrative and managerial experience having worked in both the public and private sectors for the last twenty-eight years. He is currently the Chief Executive Officer of Tanzania Pharmaceutical Industries Limited, which is one of the privatized former public enterprises.

Mr. Madabida has played a leading role in the privatization of the Tanzanian public pharmaceutical manufacturing sector. He was the Team Leader in the Preparation and submission of a proposal for Management participation in the ownership of Tanzania Pharmaceutical Industries Limited, conducted a Technical and Management Audit of Tanzania Pharmaceutical industries Limited and conducted a Due Diligence Review of Tanzania pharmaceutical manufacturing companies which were listed for privatization whose reports were submitted to Tanzania Venture Capital Fund for investment decision between January 1995 and July 1996.

He eventually prepared a Feasibility Study for rehabilitation and financing of capital items for Tanzania Pharmaceutical Industries Limited (TPI), the company he now leads and which he has done a great deal to transform. Under Mr. Madabida's leadership the company has managed to attract investments from both overseas and local investors. In the process the company is now implementing, in collaboration with Action Medeor (a German Medical Aid Organization), a Euro 5 million project financed by the European Union. Apart from his normal duties, Mr. Madabida is the Chair of Tanzania Pharmaceutical Manufacturers Association; he is a member of the Governing Council of the Confederation of Tanzania Industries and seats on the Board of Katani Ltd – one of the largest Agro-Industrial businesses in the country and Chairs the Board of Directors of Tancord (1998) Limited.

In 2003 Mr. Madabida participated in the drafting and writing of a paper which was presented to the Institute of Medicine Committee on the ‘Role of Pharmaceutical Industry and Technology and its appropriate regulation in improving antimalarial drugs and producing them inexpensively (using artemisinins as an example). He has also participated and presented papers in seminars and workshops both nationally, regionally and internationally.

Source ..::Unit Trust of Tanzania::..

thanks, but the MP is Mrs Zareena Madabida. what is she?
 
hao ndo wazuri wadhaifu wanaimarisha upinzani
 
Haya ndio mapashukuna yetu hapa Dar na huu ndio mtandao wa ukabila na udini ambao upo CCM mkoa wa Dar es salaam, ila mungu mkubwa Mume wake bwana Madabida aligombea ubunge kwa tiketi ya CCM kule Rufiji au Kilwa kama sikosei na akapigwa chini na mgombea wa CUF. ukitaka kulijuwa jimbo lake fuatilia majimbo ya CUF 2 huku Tanganyika kuna Lindi Mjini na la pili nimesahau jina lake, hapo ndipo alipofia Madabida. Nilifurahi sana huyu jamaa kupigwa chini.
Kilwa kusini.
 
nahisi ujumbe wa jana wa mchungaji Msigwa ulimlenga mama Madabida pia, kwasababu Msigwa alisema kuna watu wanaleta mambo ya khanga bungeni. Na ukiangalia utaona kweli Zarina Madabida alichangia nonsense kwenye bajeti ile jana.
 
Huyo naye ni mmoja wa mafisadi hapa Tanzania kwani kampuni ya madawa NAPCO ilimfia mkononi. Kukwepa mkono wa sheria akajiingiza kwenye siasa na yeye na mme wake ni maswahiba wa jk (dhaifu).
 
Ni yeye na mume wake na walikuwa wanamiliki maduka kadhaa ya dawa hapa Dar.
 
Jana mh mmoja mjengoni kwa jina la Madabida alikoroma sana hadi Zungu akakereka.
Naskia ni Mndengereko, nduguye Nyanchoka ( Mama Salma).
Aliongea sana kwa jazba akiunga hoja mia kwa mia na kuwakoromea wote wanao criticize bajeti. Nilivyomuona anatafuta umaarufu ili mh Rais amuone ili ampe uwaziri.
Akipewa uwaziri huyu wizara itaendeshwa kwa jazba na visasi. Amechukia sana watu ku quote mawazo ya kamati yake. Pia anadhani watu wanaotumia mtandao ni wajinga wasio na kazi.

Kuna mtu anamjua vizuri? CV yake n.k?

Madabida ni mzabizabina mnjelepina zarizarina.... malizia mwenyewe nazani unajua wabunge wote wa CCM ni bendera
 
Huyo mama ni PHARMACIST..wasomi wa kale wa chuo cha muhimbili... na alikua na cheo cha juu sana katika kwenye bodi ya wafamasia tz..anamiliki TPI kiwanda cha dawa...
 
Haya ndio mapashukuna yetu hapa Dar na huu ndio mtandao wa ukabila na udini ambao upo CCM mkoa wa Dar es salaam, ila mungu mkubwa Mume wake bwana Madabida aligombea ubunge kwa tiketi ya CCM kule Rufiji au Kilwa kama sikosei na akapigwa chini na mgombea wa CUF. ukitaka kulijuwa jimbo lake fuatilia majimbo ya CUF 2 huku Tanganyika kuna Lindi Mjini na la pili nimesahau jina lake, hapo ndipo alipofia Madabida. Nilifurahi sana huyu jamaa kupigwa chini.


Huyu ni mkewe mjanja mmoja hapo Dar anaitwa Ramadhani Madabida .Kujuana huko watu watetea kula kwa uwazi .
 
Huyu Mama aliwaliza wanawake wa Dar es Salaamu yeye pamoja na Mama Rupia na Janet Kahama walifanya utapeli wa upati wanawake wengi waliachwa na waume zao,wengine walikunywa sumu wakafa,wengine walipata vichaa ,walikuwa wanaendesha mchezo wa upatu wakijidai wa kusomesha watoto shule,wanawake walivyompeleka polisi Tibaigana alisema walicheza kamari na kamari hairuhusiwi ,fedha za kuanzishia kiwanda cha mumewe kilitokana na fedha za dhuluma za wanawake waliocheza mchezo aliouendesha yeye ndio alikuwa injinia wa mchezo na marafiki zake
 
Huyu Mama aliwaliza wanawake wa Dar es Salaamu yeye pamoja na Mama Rupia na Janet Kahama walifanya utapeli wa upati wanawake wengi waliachwa na waume zao,wengine walikunywa sumu wakafa,wengine walipata vichaa ,walikuwa wanaendesha mchezo wa upatu wakijidai wa kusomesha watoto shule,wanawake walivyompeleka polisi Tibaigana alisema walicheza kamari na kamari hairuhusiwi ,fedha za kuanzishia kiwanda cha mumewe kilitokana na fedha za dhuluma za wanawake waliocheza mchezo aliouendesha yeye ndio alikuwa injinia wa mchezo na marafiki zake

Sasa anataka uwaziri ili apore vizuri? manake kila akichangia hoja kunakuwa na mazingira ya uchu na uroho
 
Jana mh mmoja mjengoni kwa jina la Madabida alikoroma sana hadi Zungu akakereka.
Naskia ni Mndengereko, nduguye Nyanchoka ( Mama Salma).
Aliongea sana kwa jazba akiunga hoja mia kwa mia na kuwakoromea wote wanao criticize bajeti. Nilivyomuona anatafuta umaarufu ili mh Rais amuone ili ampe uwaziri.
Akipewa uwaziri huyu wizara itaendeshwa kwa jazba na visasi. Amechukia sana watu ku quote mawazo ya kamati yake. Pia anadhani watu wanaotumia mtandao ni wajinga wasio na kazi.

Kuna mtu anamjua vizuri? CV yake n.k?

Wewe CV yake itakusaidia nini?? Mimi namjua vzr madabida, ni CCM mwenzangu na jirani yangu pia. Acheni mapovu jamani Chadema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom