huyu kweli kauzu.

huyu kweli kauzu.

Joined
Mar 2, 2013
Posts
37
Reaction score
5
Katika kata moja huko mbeya, diwani mmoja aliitisha mkutano kwaajil ya kuchangishana pesa ili kujenga ukuta wa makaburi sasa diwan akatoa wazo kuwa kila mwananch atoe sh15000 sasa akauliza je kuna mtu ana swali, msela mmoja akanyanyuka akaanza kusema ivi tokea haya makabur yawepo hapa kuna maiti yoyote iliowahi kutoroka? diwani kimya. na je kama hakuna ukuta wa nini au ndo ufisadi umeanza tena,hivi wananchi tunachanga au hatuchangii....
 
Yan kauzu zaidi ya dagaaa ndugu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwani kauzu maana yake ni nini mkuu mwenye mada?

samahan, muungwana naweza msaidia kwa upeo wangu mdogo kwamba maana ya neno "kauzu" ni mtu ambaye yuko more siriasi kwa kila amuz atakalo amua, haijalishi yuko na nan, anaongea na nani, yani ye ni kanyaga twende! ! ! ! ! clea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom