Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
Okey..'mpango mzima n hv wana mm nina mdashost wangu mmoja yupo..'college moja hv pand za Mosh,kilimanjro..'nimekuwa naye kwa mda mrefu xaxa mara nying yeye kunitafuta labda mpaka awe nashda 2.'ndo mm ananijua!! hv kwel hyu m2 anamapenz ya kweli anakaa hata wk mbil bila kunitafuta cku akinipigia cm utasikia anashda na k2 flan hv ndo kwel mapenz yamekaa hv?
ana wazazi??wana uwezo??...labda anakutegemea hana means nyengine, hata hivyo mapenzi ni communication lazima uwe na mazoea ya kusema kile ambacho kinakufurahisha ama hakikufurahishi kny mahusiano,sio km wewe jambo hulipendi unaugulia kichini chini,yule ni mpenzi wako why dont you face her and tell her kuwa hupendi tabia yake ya kukutafuta akiwa na shida tu na si vinginevyo???mwambie ungependa kuwa na mawasiliano muda wote halafu mpe muda muone kama hatajirekebisha,kama baada ya kumwambia akaendelea na hio tabia basi hakupendi anakuchuna tu hata ukimuoa atakuwa na hio tabia ya kuwa tegemezi ila kama akibadilika basi mpe nafasi nyengine,usimbwage kabla ya kumpa room for improvement.