Huyu kwa Kiswahili anaitwaje?

Huyu kwa Kiswahili anaitwaje?

Bingwaman

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2010
Posts
548
Reaction score
288
Ni mnyama jamii ya paka kama walivyo simba na chui.

tiger_2417378b.jpg
 
kwa kiswahili halisi anaitwa Simbamilia...huyo sio chui kama wengi wanavodhani..
 
Huyu ni DUMA. Kuna Chui, Duma na Chita wote wote ukiwaangalia kwa haraka wanafanana na kwa mtu ambaye hawajui vzuri anaweza kushindwa kuwatofautisha na kuwaita Chui.
 
Tiger ni jinale kwa kiingereza,
Kiswahili chake ni "Simba-Marara". Marara ni ile milia yake inavyoonekana. Ana nguvu na speed kuliko simba wa kawaida. Pia ana uwezo wa kulifuata windo lake ndani ya maji.

Wanaosema ni Duma wamekosea, maana duma anaitwa Cheetah kwa kimombo

Tafsiri hii niliipata zamani kidogo (miaka ya 80 mwishoni) wakati nasoma picture-book ya wanyama.
 
Jibu sahihi katoa mkuu Paw
Au wewe uliyetoa swali una jibu tofauti na hilo..mimi pia najua anaitwa Simba-marara!
 
Chui miraba!

Hata nami lilinijia jina hili. Sijui ni kwanini walimuita "Simba Marara", km alivyoandika Paw hapo juu. Ni bora basi wangemuita "Chui Marara".
 
Last edited by a moderator:
huyo mnyama kwa kiswahili simjui ila kimombo ni Tiger. Leopard-Chui while Cheetah-duma.
 
4_big-cats.jpg

Huyu kwa jina la kimombo anaitwa Tiger sina uhakika ila nahisi kiswahili chake pia huitwa Dubu, sio Duma maana Duma ni Cheater kimomb.
 
Sio cheater. Ni cheetah. Tukishirikiana tutaijenga nchi pamoja.
 
Back
Top Bottom