Huyu kuku kajifunzia wapi gwaride, au wakuchora?

Huyu kuku kajifunzia wapi gwaride, au wakuchora?

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,727
Reaction score
62,936
Nmeshangaa kukutana na kuku kwenye Mitandao akipiga kwata shoto kulia sambamba na Maafande. Nmeshindwa kuelewa huyu Kuku kajifunzia wapi? Bora wangemfundisha kukamata vicheche.

Huku kwetu kuku alonnona kama huyu, Idd Pasaka Christmas tushamla tayari kwenye pilau.
dfa052e3-ba35-4190-b0f3-c434b88b7eff.jpg
0b33dfe9-3458-43f5-915b-a8a3c998d688.jpg
 
Hapa ndipo unagundua japo kwa asili kuku wana ubongo mdogo lakini reasoning yao inaweza kutuzidi wengi wetu!
 
Utakuta wao hawamuoni kama kuku bali ni mtu, wewe ndo umetumia uchawi wako ukamuona kuwa siyo askari ni kuku.
 
Tuachane na ya Kuku kwamza;
Hao Askari gani wanapiga tizi huku wanacheka au kutabasamu?

Unatakiwa ukunje sura na ufunge mdomo........
 
Huyo kuku ni project mpya ya SUA, baada ya kupata mafanikio kwenye project ya Panya wanao tegua mabomu.😛
 
Dah! Kaka lengo lango ni hadi atumie akili. Kwa hiyo umemfananisha na .......

Nmeshangaa kukutana na kuku kwenye Mitandao akipiga kwata shoto kulia sambamba na Maafande. Nmeshindwa kuelewa huyu Kuku kajifunzia wapi? Bora wangemfundisha kukamata vicheche.

Huku kwetu kuku alonnona kama huyu, Idd Pasaka Christmas tushamla tayari kwenye pilau.
View attachment 470496 View attachment 470497
 
Aliona hiyo nafasi ipo wazi akaona bora ajazie, huyu hata jamaa wa KFC hawamuwezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom