Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???
Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
Si kila ushauri unafaa mpendwa, fukuza mara moja hapo umepangisha pepo!!! :banplease:Si amepanga tu kwako ? na analipa kodi ? na ni mtu mzima ? Maisha yake binafsi hayakuhusu huo ndio 'uswahili' unaotuharibu jali maisha yako.
kakaaa unajuaa mjiniii kuna mambo mengiii ya kuigaaa...kwa ushaurii mlete kijanaa tu mchunguzee kweliii ni sharobaroooo au bi....la....liii.Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???
Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???
Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
Kama anakulipa hela ya pango kila mwisho wa mwezi una shida gani?
mhh wewe uyo ni mpangaji wako umempangisha tu na anajitegemea kwa kila kitu au ni mdogo wako au jamaa ako tu unamstiri?
km ni mpangaji achana nae ni masiha yake
km ni jamaaa yako kafikia kwako unamstiri basi KAA NAE CHIN UMWAMBIE AKUELEWE...
lakin kwa swaga izo mpaka na wanja basi uo SI USHAROBARO NI USHARAUHARO..chek vyema ata cm yake utakuta msg nzito ....
pole.
km vp mwambie akapange kwingne la sivyo watu watajua mko KAZI moja..pole...asi unajua mashoga wanavyopenda kukaaa vkund kund sjui ndo km geto vile kwao ...ahh pole once again
kaazi kweli kweli
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???
Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
Ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya SHAROBARO au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???
Mnanishauri vipi? nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
Mimi nafikiri kabla hujafikia uamuzi wa kumfukuza jaribu kuongea naye, tumia hekima yako, huwezi jua unaweza ukamsaidia kumtoa huko kubaya! Ikishindikana.... basi waweza kuchukua hatua ya pili!