Huyu kijana ananichanganya

Huyu kijana ananichanganya

Ni kijana flani hivi mtanashati sana, educated, gentleman. Nimekuwa nae kwa miezi kadhaa na nimemtambulisha kwa baadhi ya ndugu zangu (siyo ishu sana).

Mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti of coz hatukuwa na future yoyote zaidi ya kuenjoy Neema za Mungu. Kabadilika ghafla na mimi pia nimebadilika lakini ni ukweli kuwa nampenda kutoka moyoni (lakini sipendi ajue hili). Japo nampenda sana lakini nataka kumuacha.

Naomba msaada wa mawazo. Nawezaje kumove on na kwa mtu ninayemfeel kama hivi?

MATANGAZO MUBASHARA KAMA HAYA MUWE MNAWEKA NA PICHA!
 
Ni bora upoteze Dunia nzima kuliko kumpoteza umpendae kwa sababu za kipuuzi.
Kama hujui unachokitafuta basi huenda ushindwe kukitumia ukikipata.

Kazi kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom