Well saidJitahidi kuboresha penzi lako tena huwenda umezembea mahali, usikubali tu kumpoteza kirahisi kwa vile unaweza kumpata mwingine, the issue is utakuwa na wangapi?
Nahisi chanzo cha wewe kutaka kumove on ni kwa sababu anakuumiza kwa kuwa anajua unampenda sana.Ni siyo kumuumiza..ni Mimi kumove on
Siku mlipokutana Mara ya kwanza ushauri alikupa nan ? Tukushurije wakati mwanzoni ilikuwa siri yenu tu ?Ni kijana flani hivi mtanashati sana, educated, gentleman. Nimekuwa nae kwa miezi kadhaa na nimemtambulisha kwa baadhi ya ndugu zangu (siyo ishu sana).
Mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti of coz hatukuwa na future yoyote zaidi ya kuenjoy Neema za Mungu. Kabadilika ghafla na mimi pia nimebadilika lakini ni ukweli kuwa nampenda kutoka moyoni (lakini sipendi ajue hili). Japo nampenda sana lakini nataka kumuacha.
Naomba msaada wa mawazo. Nawezaje kumove on na kwa mtu ninayemfeel kama hivi?
Ndo hivyo na ww uifanyie kazi sio unanimwaga tu kirahisi namna hiyoWell said
Hapo sasa umeelewa maana yake. So nivigumu kumove on kama ndo hivyoNikishazama kwingine ntmuona kawaida sana hata mshipa hautashtuka licha ya kukumbushia
Sawa babaNdo hivyo na ww uifanyie kazi sio unanimwaga tu kirahisi namna hiyo