corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,664
- 3,394
Mkuu huna haja ya kupiga kelele ooh nataka kukuacha,we piga kimya endelea na issue zako ataisoma polepole mwenyewe.. Tena anajijua kabadilika.Ni Kijana flan hvi mtanashat sana. Educated, gentlmen nimekuwa nae kwa miezi kadhaa na nimemtambulisha kwa baadhi ya ndugu zangu (siyo ishu sana)
Mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti of coz hatukuwa na future yoyote zaidi ya kuenjoy Neema za Mungu.
Kabadilika ghafla na mm pia nimebadilika lakini ni ukweli kuwa nampenda kutoka moyoni.(lakini sipendi ajue hili)
Japo nampenda sana lakini nataka kumuacha
Naomba msaada wa mawazo
nawezaje kumove on na kwa mtu ninayemfeel kama hv
Pls pls kama huna ushauri pita tu na strees zako