We ndie ulie anza kubadilikaAmebadilika hayupo kama mwanzo
Sasa ili asiniache nataka mm nimwache mapema kabisa akija kushtuka me nimemtoa moyoni mda
me nilidhani utaomba ushauri namna ya kumweka katika himaya yako,acha kukimbia ukweliNi kijana flani hivi mtanashati sana, educated, gentleman. Nimekuwa nae kwa miezi kadhaa na nimemtambulisha kwa baadhi ya ndugu zangu (siyo ishu sana).
Mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti of coz hatukuwa na future yoyote zaidi ya kuenjoy Neema za Mungu. Kabadilika ghafla na mimi pia nimebadilika lakini ni ukweli kuwa nampenda kutoka moyoni (lakini sipendi ajue hili). Japo nampenda sana lakini nataka kumuacha.
Naomba msaada wa mawazo. Nawezaje kumove on na kwa mtu ninayemfeel kama hivi?
Fill the vacuum kwanza maana alikuwa na nafasi kwako utamwacha tu endapo utapata mwingineTunaishi mbali mbali so kumchunguza ni vigumu sana kwa Mimi.
MPENZI WA KWELI HAPATIKANI KWA KUBADILI WAPENZI...Ni kijana flani hivi mtanashati sana, educated, gentleman. Nimekuwa nae kwa miezi kadhaa na nimemtambulisha kwa baadhi ya ndugu zangu (siyo ishu sana).
Mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti of coz hatukuwa na future yoyote zaidi ya kuenjoy Neema za Mungu. Kabadilika ghafla na mimi pia nimebadilika lakini ni ukweli kuwa nampenda kutoka moyoni (lakini sipendi ajue hili). Japo nampenda sana lakini nataka kumuacha.
Naomba msaada wa mawazo. Nawezaje kumove on na kwa mtu ninayemfeel kama hivi?
Unachekeshaaa Unamwachajee MTU unayempenda NA yy bado anaonyesha ana kupenda?Nishafanya hivyo zaidi ya Mara 3 tunaachana kesho yake ananipigia simu na kulia lia tunayamaliza coz bado nampenda this time nataka nimuache kabisaaa
Ni kijana flani hivi mtanashati sana, educated, gentleman. Nimekuwa nae kwa miezi kadhaa na nimemtambulisha kwa baadhi ya ndugu zangu (siyo ishu sana).
Mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti of coz hatukuwa na future yoyote zaidi ya kuenjoy Neema za Mungu
kama hukuwa na future naye haina haja ya kuumia kwani mwambie tu kuwa tumefikia mwisho wa movie yetu atakuelewa kama na yy alikuwa hana future na ww