Huyu kichaa amepona kweli???toa maoni yako!!!!

Huyu kichaa amepona kweli???toa maoni yako!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
943
JE! HUYU KICHAA AMEPONA KWELI?TOA MAONI YAKO:-
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ilee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto wangu walee wanakwenda shule..
Akatoka mwanamke akasema na mke wangu yulee, Ghafla akatoka mwanaume john akasema mimi yuleeeeeeee.... naenda kazini!! JE, NI KWELI AMEPONA??
 
Back
Top Bottom