Huyu Kalishwa Limbwata

Huyu Kalishwa Limbwata

408734_384633998273760_407998815_n.jpg

unataka ugomvi na Bishanga kwa kuleta picha yake humu
 
Last edited by a moderator:
Kama anafua zako baba watoto wake kwanini usifue...acha hizo bwana ni sehemu ya maisha......mfumo dume out of date
 
Upendo wa kipuuzi. Mpaka ufue chupi za mkeo ndio uonyeshe upendo. kama kuna sababu ya msingi sawa nitafua sana! Lakini katika hali ya kawaida, sifanyi. Acha chupi ya mke hata nguo zangu, za watoto sifui kama mke wangu hana sababu ya msingi ya kutofanya hizo kazi.
Wacha ushamba, mapenzi hayana formula. Kila couple ina swaga zake, wao wametoka ki-namna hiyo yawezekana wewe kuna unayofanya na wenzio hawayawezi. Lisilowezekana kwako kwa wenzako linawezekana
 
Wacha ushamba, mapenzi hayana formula. Kila couple ina swaga zake, wao wametoka ki-namna hiyo yawezekana wewe kuna unayofanya na wenzio hawayawezi. Lisilowezekana kwako kwa wenzako linawezekana

Rosweeter, my point is kuna standard ambazo zinakubalika kwa wengi. Najua tuna tofauti katika kupenda, lakini kuna kiwango ambacho tunakubaliana tulio wengi-hasa waafrika. Bukoba mwanaume hawezi kumenya ndizi katika hali ya kawaida. Lakini kama mke anaumwa au kuna sababu ya msingi, unamenya maana kuna sababu ya msingi.
 
mm naona kawaida ndivyo walivyoamua kuishi wao,kila mtu ana-style ya maisha yake ya ndoa na haifanani na mwingine,kuna namna pia unavyoishi wewe kumbe unachekwa na wengine bila kujijua
 
Hiyo mbona poa tu! Mimi napenda kufua ch*pi za wife na yeye anafua zangu. Nikianza kuzishika tu mzuka unanipanda ile mbaya saa zingine nazitumia kama starter kwenye mambo yetu kwani harufu yake inantia ashiki vibaya mno. Kila jioni lazima nimvulie ch*pi alovaa siku hiyo kabla hata hajenda bafuni.

Inakuwaje ukikuta ch*** yake ina vimchuzi mchuzi...teh..teh...
 
Kusaidiana kupo; wewe unamfulia hizo, yeye anakufulia jeans zako.
 

Mbona mkaka mwenyewe usoni kama kalazimishwa simuoni kuchangamkia kitendo anachokifanya hapo si ajabu mdada ndiye mwenye mkwanja na kamweka kinyumba huyo kijana.
Wakati mwingine ni vyema wapenzi kusaidiana kama wenzetu wanavyofanya lakini tatizo wanawake wa kibongo ukianza kufanya hivyo anaanza kukutangaza mwenyewe kwa kukuita majina yasiyofaa kwa mashosti wake
.
 
Rosweeter, my point is kuna standard ambazo zinakubalika kwa wengi. Najua tuna tofauti katika kupenda, lakini kuna kiwango ambacho tunakubaliana tulio wengi-hasa waafrika. Bukoba mwanaume hawezi kumenya ndizi katika hali ya kawaida. Lakini kama mke anaumwa au kuna sababu ya msingi, unamenya maana kuna sababu ya msingi.

Pamoja na yote lakini bado nakuambia huo ni mtazamo wako binafsi, no limitation kwenye mapenzi
 
Pamoja na yote lakini bado nakuambia huo ni mtazamo wako binafsi, no limitation kwenye mapenzi

Basi Rosweeter, nafunga kwa kusema kuwa kuna limits, bounds za mapenzi/kupenda ukizivuka, community/friends/parents even your lover -wote hao watakuona una kasoro/akili yako si timamu! Have a nice day!
 
sasa ya untie ezekiel utaifua au utaianika maana tayari kashaifua kwa kojo...na kuisugua na k
 

Acha ushamba kaka hakuna cha Limbwata wala nini mie vitu hivyo wala usiniambie sie waswahili ni watu wa ajabu sana tu yaani mtu unashindwa hata kumsaidia mwenza wako/mke wako Lol!!!Mbona wanatufulia mijinguo yetu Jeans zilivyona shida ya kufua lakini wao wanakomaa nazo hata Boxer zako anafua leo hii kumfulia ati limwbata kama si ushamba ni nini tupendane na Mapenzi sio kitandani Mapenzi ni yale ya external kitandani ni kumalizia tu.
Tawaone hurume wake/wapenzi zetu yaani kila kitu watufanyie kufua,kupika,kudeki nyumba na wakati huo pia huenda alitoka kazini hen usiku akilala na kusema amechoka utaanza ooooh ushaanza sio.Tuwe binadamu tuache mambo ya kizamani mie namsaidia wife wangu kwa kila kitu hata kupika na kumbadilisha mtoto nepi pia kumuogesha kwa miaka hii yetu ni kawaida sana tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom