Huyu kaka ameanza kuniboa nifanyeje

Huyu kaka ameanza kuniboa nifanyeje

Hajakwita mchumba kwa bahati mbaya kijana wako alipangwa na boss wake akule halafu alale mbele. Sasa inaonekana kijana alekupenda kikweli ndio boss amekuja na huyo shahidi wake ampe kijana habari kama wewe ni mchumba wa boss(manake umeitwa mchumba na hujakataa).

Hii iliwahi kutokea wakati nipo shule rafiki yangu alikataliwa na msichana mmoja. Sasa akanipa mimi yule dada alinikubali huyu rafiki yangu nae alikuwa anataka kujua kama nishamkula huyu Mwanamke kila tukionana. Yaani yeye tukionana tu anataka kujua nini kina endelea kati yangu na huyu alokuwa mwenza wangu.
Daah kichwa inauma aisee mimi amenikwaza
 
Ndo maama me nilisema kwamba saizi tusiwe tunajibu thread zisizoeleweka kama hizi mkuu

Wawe wanaona tu views 7k halafu 0 replies na no reactions😎
Kwa mtindo huu inaonekana una tayizo la afya ya akili😬
Ni wewe maana kama uko seriously Ungekuwa zako uko jukwaa la siasa mkipanga namna ya kukabiliana na polisi kesho na sio kujibizana na mwanamke hapa

Sikia nina kisirani niachee
 
downloadfile-60.jpg
 
Mkuu unateseka na nn?
Kijana unae ila unawasi wasi wa kuachwa?
itakua mara ya kwanza?

hebu njoo bq uchukue barimi zako 2 hapa akili ikae sawa
 
Ila wewe dada unaweza kushika namba moja kwa watu wanaoteswa na mapenzi duniani.
Hahaha Kuna Watu wamenyamaza sio wasimuliaji wanaumia kimyakimya hivi nikiwa namba 1 Yule dada ali trend kidampa atakuwa namba ngapi.. na Mimi sijawahi kupigwa tukio ni najiongezaga tu
 
Kijana ataachaje mazoea wakati ni bosi wake
Kwani ni lazima kuwa na mazoea na boss wako kiasi kwamba ukiwa bize anakuja kumpeleka mpenzi wako mahali bila wewe kuwepo?

Nafikiri jamaa akishajua boss wake ambaye ndiyo amemuunganisha na huyo mpenzi anamtongoza, basi ataamua atafute kazi nyingine, aache mazoea au akubali amegewe yaishe.
 
Huyo dogo uliunganishwa nae anafirwa na huyo firauni kibosile Kwenye nyekundu ni ileile tu
Haiwi kijani.
Hapo huna mume wala mchumba kimbia au mfanye 3some.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom