Tukiwa tunajiandaa na maandamano siku ya kesho nimeona niyatoe ya moyoni maana sina pa kuyatolea
Nimekuwa na mahusiano ni kijana mmoja wa kawaida tu hawa wadada tunawaita sura personal maana nyie ma handsome boy siwataki mmenipiga sana matukio
Sasa kilichonileta hapa sio huyo kijana bali ni mtu aliefanya Mimi nikafahamiana na huyu Kijana wangu
Kiufupi yeye ndio alietuunganisha maana tulikuwa hatujuani
Ipo hivi huyu jamaa (Alietuunganisha)amekuwa akinitongoza takribani miaka 4 sijawahi kumkubali na hata alipotaka kunioa nilikataa na nashukuru Mungu ameshao mwanamke mwingine
Kisa cha kumkataa ni kuwa hatuendi kimuonekano ni wale Watu ma giant halafu mimi mdogomdogo hata nikitembea nae anaonekana kama baba angu na kingine ana umri mkubwa kwangu, na sikumpenda,,kwaiyo nikaona sina sababu ya kuwa nae nikamkwepa.. HAJAWAHI KUNIKULA HATA UKARIBU WOWOTE WA KIMWILI
Basi maisha yamesonga tunawasiliana kuna siku aliniuliza kama nimepata mahusiano nikamjibu sina ilikuwa ni utani tu nikashanga kampa huyo kijana ambae nipo nae sasa namba yangu.. akasema tu Kijana mzuri huyo nipo naë kazini ametulia ishi nae
Yule kaka tuliwasiliana tukakubaliana wenyewe na Tukaanza mahusiano hana shida na mimi nimeona ana faa tu maana ni mtu ambae age mate
Sasa kinachonikera huyo alietuunganisha ni anatufuatilia sana mara a muulizee Kijana wangu kuhusu mimi yaani kiufupi anataka kujua kila kinachoendelea mimi hili jambo silipendi na nimeshamwambia Kijana wangu mimi sitaki mambo yetu aendelee kuyajua maana yeye kazi yake imeisha
Sasa kinachoniwazisha ni huyu kijana wangu kwa huyo kaka (Alietuunganisha)ni boss wake na mimi nilimwambiaga namchukuliaga kama bro kwaiyo always akiongea habari zake anatumia neno bro wako anakusalimia, sijawahi kumwambia kama amewahi kunitongoza
Kuna kitu sasa kakifanya kinaniwazisha
Nilikuwa kwa Kijana sasa nikatakiwa kuwahi kutoka na Kijana hakuweza kupata ruhusa kunipeleka ikabidi huyo bro wa mchongo anipeleke alikuja na mwenzake ambae nae anamwita boss
Sasa akaanza kuwa ananiita mchumba sijui za siku nyingi mara mchumba sijui hivi sikutaka kuongea nikawa navunga nisimuaibishe kwa huyo mfanyakazi wake.. sasa nina wasiwasi usije kuwa huyo mfanyakazi akachukulia seriously akamwambia Kijana wangu 😟 Mimi nataka nitulie nae jmn
Nifanyaje huyu bro wa mchongo aache kiherehere ananikwaza
Nimekuwa na mahusiano ni kijana mmoja wa kawaida tu hawa wadada tunawaita sura personal maana nyie ma handsome boy siwataki mmenipiga sana matukio
Sasa kilichonileta hapa sio huyo kijana bali ni mtu aliefanya Mimi nikafahamiana na huyu Kijana wangu
Kiufupi yeye ndio alietuunganisha maana tulikuwa hatujuani
Ipo hivi huyu jamaa (Alietuunganisha)amekuwa akinitongoza takribani miaka 4 sijawahi kumkubali na hata alipotaka kunioa nilikataa na nashukuru Mungu ameshao mwanamke mwingine
Kisa cha kumkataa ni kuwa hatuendi kimuonekano ni wale Watu ma giant halafu mimi mdogomdogo hata nikitembea nae anaonekana kama baba angu na kingine ana umri mkubwa kwangu, na sikumpenda,,kwaiyo nikaona sina sababu ya kuwa nae nikamkwepa.. HAJAWAHI KUNIKULA HATA UKARIBU WOWOTE WA KIMWILI
Basi maisha yamesonga tunawasiliana kuna siku aliniuliza kama nimepata mahusiano nikamjibu sina ilikuwa ni utani tu nikashanga kampa huyo kijana ambae nipo nae sasa namba yangu.. akasema tu Kijana mzuri huyo nipo naë kazini ametulia ishi nae
Yule kaka tuliwasiliana tukakubaliana wenyewe na Tukaanza mahusiano hana shida na mimi nimeona ana faa tu maana ni mtu ambae age mate
Sasa kinachonikera huyo alietuunganisha ni anatufuatilia sana mara a muulizee Kijana wangu kuhusu mimi yaani kiufupi anataka kujua kila kinachoendelea mimi hili jambo silipendi na nimeshamwambia Kijana wangu mimi sitaki mambo yetu aendelee kuyajua maana yeye kazi yake imeisha
Sasa kinachoniwazisha ni huyu kijana wangu kwa huyo kaka (Alietuunganisha)ni boss wake na mimi nilimwambiaga namchukuliaga kama bro kwaiyo always akiongea habari zake anatumia neno bro wako anakusalimia, sijawahi kumwambia kama amewahi kunitongoza
Kuna kitu sasa kakifanya kinaniwazisha
Nilikuwa kwa Kijana sasa nikatakiwa kuwahi kutoka na Kijana hakuweza kupata ruhusa kunipeleka ikabidi huyo bro wa mchongo anipeleke alikuja na mwenzake ambae nae anamwita boss
Sasa akaanza kuwa ananiita mchumba sijui za siku nyingi mara mchumba sijui hivi sikutaka kuongea nikawa navunga nisimuaibishe kwa huyo mfanyakazi wake.. sasa nina wasiwasi usije kuwa huyo mfanyakazi akachukulia seriously akamwambia Kijana wangu 😟 Mimi nataka nitulie nae jmn
Nifanyaje huyu bro wa mchongo aache kiherehere ananikwaza