Huyu jamaa ni shushushu?

Huyu jamaa ni shushushu?

Hivyo ndivo anavofahamika hana taaluma yoyote ile ya inteligence na sio wakala au mwajiriwa wa chombo chochote kile cha intelligence,
 
Huyo kijana anaitwa Sambala Ole Comrade ni mwanakijiji na diwani wa Mondo wilaya ya Chemba anaishi Kawe ni Team EL muda mrefu na ameshiriki kazi baadhi za kumtangaza EL kwenye mitandao ya kijamii lakini Pia Sambala aliwahi kama bado anaendelea na kuwasiliana na viongozi wa kundi la waasi wa M23

Kwahiyo Rais Mtarajiwa Yupo Na Gaidi au Muasi? Kweli Watanzania Tupo Ktk Sayari Yetu!
 
Hicho kichogo kinamanipulate data kwa speed kubwa sana inaelekea.
 
Huyo kijana anaitwa Sambala Ole Comrade ni mwanakijiji na diwani wa Mondo wilaya ya Chemba anaishi Kawe ni Team EL muda mrefu na ameshiriki kazi baadhi za kumtangaza EL kwenye mitandao ya kijamii lakini Pia Sambala aliwahi kama bado anaendelea na kuwasiliana na viongozi wa kundi la waasi wa M23

Ni shemeji wa Lowasa sio..maana first lady si Mrangi..
 
Vipi jirani yako atagombea Ubunge mwaka huu au kaamua ampiganie EL tu asubirie nafasi za kuteuliwa??

Super Handsome Uwege Na Adabu Basi Muda Mwingine. Jirani Yangu Kivipi Wakati Nina Mwaka Wa Tatu Sasa Nipo Kwetu Kigali Rwanda?
 
Kwanini wanawaua albino wasio na hatia na wanawaacha watu wenye mibichwa kama hii!
 
huyo sio comred sambala kweli?

Jamaa ana majina mengi sana huyu.. Sambala, ziabu unda na jina alokuwa anatumia tukiwa pale sekondari mzumbe morogoro somebody Said. Shuleni jina lake maarufu aliitwa mbunge hata tukiwa shule tulikuwa tunahisi jamaa ni shushushu, aliijua sana siasa huyu jamaa na ni mwandishi na mchora katuni pia..
 
Back
Top Bottom