sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Naye si mwingine bali ni Meddie Kagere a.k.a MK14. Mpaka sasa katika ligi zote dunia hii hakuna kama yeye. Kwanini? Ungana nami.
Huyu mnyama mpaka sasa kafunga goli 10 peke yake. Mchanganuo wa hizo goli ni kama ifuatavyo;
1. Goli 3 kafunga kwenye ligi kuu
2. Kombe la Kagame katupia goli 4
3. Katika michezo ya kirafiki katupia goli 2
4. Timu ya Taifa Rwanda huko katupia goli 1, ambalo naamini mwakani FIFA watamkabidhi tuzo yake ya goli bora la mwaka.
Just imagine, September hii tu jamaa ana goli 10, ikifika mwakani mwezi wa 5 ambapo ligi zitakua zinaisha si atakua katupia goli zaidi ya 107?
Huyu jamaa hakuna rekodi yoyote ambayo ataiacha salama, mfano;
1. 30/09/2018 jamaa anaenda kuvunja rekodi ya King Kibaden ya kutupia Hat-Trick dhidi ya Ndala iliyodumu miaka na miaka.
2. Si mpaka ligi iishe, ni hapo mwakani mwanzoni tu, Meddie Kagere atakua ni mchezaji pekee aliyewahi kufunga goli nyingi katika ligi kuu ya Tanzania.
3. Messi (Eeeeh, huyo huyo wa Barcelona) naye hataachwa salama. Ifikapo May mwakani, Kagere atakua ni binadamu pekee aliyewahi kufunga goli nyingi ndani ya msimu mmoja.
Huyo ndo Meddie Kagere.
"Aminini Nawaambia 30/09/2018 Baada ya Shoo ya Kagere Taifa.. Kuna Watu Watasahau Makwao" - sembo
Nikiripoti toka viyunga vya Kigali hapa Rwanda.. Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Malatu Voice)
Huyu mnyama mpaka sasa kafunga goli 10 peke yake. Mchanganuo wa hizo goli ni kama ifuatavyo;
1. Goli 3 kafunga kwenye ligi kuu
2. Kombe la Kagame katupia goli 4
3. Katika michezo ya kirafiki katupia goli 2
4. Timu ya Taifa Rwanda huko katupia goli 1, ambalo naamini mwakani FIFA watamkabidhi tuzo yake ya goli bora la mwaka.
Just imagine, September hii tu jamaa ana goli 10, ikifika mwakani mwezi wa 5 ambapo ligi zitakua zinaisha si atakua katupia goli zaidi ya 107?
Huyu jamaa hakuna rekodi yoyote ambayo ataiacha salama, mfano;
1. 30/09/2018 jamaa anaenda kuvunja rekodi ya King Kibaden ya kutupia Hat-Trick dhidi ya Ndala iliyodumu miaka na miaka.
2. Si mpaka ligi iishe, ni hapo mwakani mwanzoni tu, Meddie Kagere atakua ni mchezaji pekee aliyewahi kufunga goli nyingi katika ligi kuu ya Tanzania.
3. Messi (Eeeeh, huyo huyo wa Barcelona) naye hataachwa salama. Ifikapo May mwakani, Kagere atakua ni binadamu pekee aliyewahi kufunga goli nyingi ndani ya msimu mmoja.
Huyo ndo Meddie Kagere.
"Aminini Nawaambia 30/09/2018 Baada ya Shoo ya Kagere Taifa.. Kuna Watu Watasahau Makwao" - sembo
Nikiripoti toka viyunga vya Kigali hapa Rwanda.. Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Malatu Voice)