Huyu Jamaa Hakuna Rekodi Atakayoiacha Salama!

sembo

JF-Expert Member
May 25, 2011
4,350
3,451
Naye si mwingine bali ni Meddie Kagere a.k.a MK14. Mpaka sasa katika ligi zote dunia hii hakuna kama yeye. Kwanini? Ungana nami.
Huyu mnyama mpaka sasa kafunga goli 10 peke yake. Mchanganuo wa hizo goli ni kama ifuatavyo;
1. Goli 3 kafunga kwenye ligi kuu
2. Kombe la Kagame katupia goli 4
3. Katika michezo ya kirafiki katupia goli 2
4. Timu ya Taifa Rwanda huko katupia goli 1, ambalo naamini mwakani FIFA watamkabidhi tuzo yake ya goli bora la mwaka.
Just imagine, September hii tu jamaa ana goli 10, ikifika mwakani mwezi wa 5 ambapo ligi zitakua zinaisha si atakua katupia goli zaidi ya 107?
Huyu jamaa hakuna rekodi yoyote ambayo ataiacha salama, mfano;
1. 30/09/2018 jamaa anaenda kuvunja rekodi ya King Kibaden ya kutupia Hat-Trick dhidi ya Ndala iliyodumu miaka na miaka.
2. Si mpaka ligi iishe, ni hapo mwakani mwanzoni tu, Meddie Kagere atakua ni mchezaji pekee aliyewahi kufunga goli nyingi katika ligi kuu ya Tanzania.
3. Messi (Eeeeh, huyo huyo wa Barcelona) naye hataachwa salama. Ifikapo May mwakani, Kagere atakua ni binadamu pekee aliyewahi kufunga goli nyingi ndani ya msimu mmoja.
Huyo ndo Meddie Kagere.

"Aminini Nawaambia 30/09/2018 Baada ya Shoo ya Kagere Taifa.. Kuna Watu Watasahau Makwao" - sembo

Nikiripoti toka viyunga vya Kigali hapa Rwanda.. Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Malatu Voice)
 
Mpaka ligi inaisha Kagere atakuwa amefunga magoli mengi peke yake kuliko magoli yote yatakayo kuwa yamefungwa na timu ya Yanga kwa ujumla
 
Mpaka ligi inaisha Kagere atakuwa amefunga magoli mengi peke yake kuliko magoli yote yatakayo kuwa yamefungwa na timu ya Yanga kwa ujumla
Mkuu huyu jamaa ni Unstoppable. Watoto wa mjini wanasema, "anawapigia nyumbani.. anawapigia ugenini" yaani hawana pakutokea.
 
Naye si mwingine bali ni Meddie Kagere a.k.a MK14. Mpaka sasa katika ligi zote dunia hii hakuna kama yeye. Kwanini? Ungana nami.
Huyu mnyama mpaka sasa kafunga goli 10 peke yake. Mchanganuo wa hizo goli ni kama ifuatavyo;
1. Goli 3 kafunga kwenye ligi kuu
2. Kombe la Kagame katupia goli 4
3. Katika michezo ya kirafiki katupia goli 2
4. Timu ya Taifa Rwanda huko katupia goli 1, ambalo naamini mwakani FIFA watamkabidhi tuzo yake ya goli bora la mwaka.
Just imagine, September hii tu jamaa ana goli 10, ikifika mwakani mwezi wa 5 ambapo ligi zitakua zinaisha si atakua katupia goli zaidi ya 107?
Huyu jamaa hakuna rekodi yoyote ambayo ataiacha salama, mfano;
1. 30/09/2018 jamaa anaenda kuvunja rekodi ya King Kibaden ya kutupia Hat-Trick dhidi ya Ndala iliyodumu miaka na miaka.
2. Si mpaka ligi iishe, ni hapo mwakani mwanzoni tu, Meddie Kagere atakua ni mchezaji pekee aliyewahi kufunga goli nyingi katika ligi kuu ya Tanzania.
3. Messi (Eeeeh, huyo huyo wa Barcelona) naye hataachwa salama. Ifikapo May mwakani, Kagere atakua ni binadamu pekee aliyewahi kufunga goli nyingi ndani ya msimu mmoja.
Huyo ndo Meddie Kagere.

"Aminini Nawaambia 30/09/2018 Baada ya Shoo ya Kagere Taifa.. Kuna Watu Watasahau Makwao" - sembo

Nikiripoti toka viyunga vya Kigali hapa Rwanda.. Ni Mimi sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Malatu Voice)
Sijaisoma yote, bila shaka muandishi atakuwa Haji Manara
 
Huyu Babu Kagere anajituma sana, na ndio siri ya mafanikio yake.
Kamfundisha na John Bocco kufunga kwa kichwa cha ku dive.
Kamfundisha na Mo Ibra, kufunga kwa heavy striking na
tik tak tuk,
Atasomesha wengi huyu Babu.
 
Vipi timu yenu ya taifa Uganda pamoja na kinda wenu Okwi? Hamuiongelei tena kunani

Mkuu tangu Ijumaa nipo Kigali, hivyo yaliyotokea Uganda siyafahamu, kwani ilikuaje? Ya huku Kigali, MK14 ndo habari ya mjini.
Alafu nasikia striker lenu Makombo mara ya mwisho kufunga goli darasa la 7 walikua bado shuleni.
 
Mkuu tangu Ijumaa nipo Kigali, hivyo yaliyotokea Uganda siyafahamu, kwani ilikuaje? Ya huku Kigali, MK14 ndo habari ya mjini.
Alafu nasikia striker lenu Makombo mara ya mwisho kufunga goli darasa la 7 walikua bado shuleni.
Hilo goli la Kagere likawapa point ngapi hao watoto wa PAKA?
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom