sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
- Thread starter
- #21
Mkuu yule Makombo wenu;Mahaba yakizid hugeuka upumbavu
1. Katika mechi za kimataifa aliitwa na timu yake? Na alifunga magoli mangapi?
2. Nasikia mara ya mwisho kufunga goli darasa la 7 walikua wanapiga pindi kama kawa? Mwenzake jana kawalaza mabeki wa timu bora kabisa barani Africa, Ivory Coast na viatu.