a hope
Senior Member
- Oct 23, 2022
- 164
- 340
MWEZI uliopita midaa ya saa mbili usiku wakati narudi gheto niko mdogo mdogo na stress zangu, wakati nakaribia kufika gheto ghafla jamaa mmoja aliekuwa amesimama pembeni njiani akaniita "kaka samahani" ikabidi nisimame. Nimsikilize jamaa ana shida gani..
Baada ya salamu jamaa akaanza kunieleza yanayomsibu ni kuwa ana hali mbaya sana kiuchumi ana mke na mtoto mmoja na hana kitu chochote chakula ndani na tangu asubuhi ameondoka mke na mtoto wake hawajala kitu mpaka muda huu wanamsubili yeye arudi kutoka kazini ili wale hata chakula cha usiku na bahati mbaya huko kazini alikokuwa anategemea hajapata kitu chochote hivo anaomba kama katika matumizi yangu nimebakiza hata chenji Tsh. 1000/= anaomba nimpe akanunue hata dagaa wale hata usiku huu tuu. Kesho ataona afanyaje..
Daaah niliingiwa na huruma hasa ukizingatia jamaa ni mtu mzima kunizidi na kwa upande wangu pia nimepitia maisha magumu sana sana hivo nilikuwa naelewa fika jamaa anazungumzia nini ..
To shorten the story..niilimpa jamaa kiasi kidogo tu cha pesa ambacho niliamini kwa familia yake kingemtosha usiku huo na asubuhi yake basi siku hiyo ikapita..
Kesho yake mida ya saa moja kasoro jioni..nimetulia zangu gheto nashangaa mtu anagonga mlango..kufungua naomuona jamaa wa jana (niliimaki sauiti) ..ila ikabidi nijifanye kama simkumbuki..basi tukakaa njee
Baada ya salamu ..jamaa akaniuliza kama namkumbuka..nikajibu hapana sikukumbuki..basi jamaa akajitambulisha upya..
Wazo lilonijia kichwani ni kuwa jamaa kaja kutoa shukrani kwa msaada wa jana..
Na ni kweli baada ya salamu jamaa akanishukuru sana kwa msaada wa jana..ila akasema leo ana shida nyingine ila leo hajaja kuomba kama jana badala yake anaomba nimkopee kiasi fulani cha pesa ana shida sana sana na mimi ndio msaada wake wa pekee hana msaada mwingine ..daah nilishangaa
Kiukweli pesa aliyokuwa anataka ni ndogo ila ni zaidi ya niliyompa jana..
Iakini pia siku hiyo alarm kichwani kwangu iligonga kuwa leo ni kama napigwa maana jamaa alikuwa na kaharufu fulani ka pombe japo maelezo yake yalikuwa straight sana..
Basi badaa ya kulia sana nimkopee..nikaamua sio mbaya..nimepoteza vingapi....nikampa nusu ya pesa aliyokuwa anahitaji..akashukuru sana..akaondoka..
Aisee sijakaa hata nusu saa nashangaa mtu huyu hapa tena anagonga mlango..kutoka ni jamaa
Nikamuuliza nini tena ndugu yangu..akasema anaomba saana sana yupo chini ya miguu yangu..jamaa alietakiwa kumsaidia kwa kiasi kile cha pesa amekataa kata kata kumsaidia anadai anataka hela yote ndipo atamtatulia shida yake..daah nilichoka..nikamwambia ndugu yangu mimi sina hela hata hiyo nusu niliuokuazima nimechukua ya watu..
Jamaa akalia sana sana..daah nikaona sasa hii ni kelo na kuondoa kelo..kishingo upande sana nikampa nusu tena kwaiyo ikawa pesa imekamilika aliyohitajii..jamaa akashukuru sana akaondoka ila nikamsisitiza sana kuwa hiyo pesa niliyomuazima ni ya watu hivo kesho ajitahidi kurejesha..jamaa akanihakikishia kuwa kesho pesa inarudi..basi siku hiyo ikapita..
Kesho yake mida ile ile ya saa moja kasoro jioni jamaa huyu hapa..tena alinikuta nimekaa nje namsubili kwa hamu maana nilikuwa nawaza ikifika saa mbili usiku huyu jamaa hajaonekana nihesabu maumivu ile hela nimepigwaa...maana hadi muda huo nilikuwa sijui anakaa wapi japo alisema ni mtaa mmoja
Kwaiyo nilivomuona jamaa..nikafurahi sana nikajua pesa yangu hii hapa...aisee daah
Basi kama kawaida baada ya salamu jamaa akanishukuru sana kwa msaada wa jana na kumuamini
Ghafla badala ya kunipa pesa yangu..nikashangaa jamaa anaanza kueleza tena shida zake..mara anaomba tena nimkopee hela nyinginee..
Nilishtuka ikabidi nimuangalie jamaa vizuri usoni..nikawaza au jamaa ni chizi...lakini mbona mavazi yake ni ya kawaida tu..nikawaza au amelewa ..lakini mbona hana dalili japo kweli kulikuwa na kaharufu ka pombe..kwa mbali..
Nikamwambia kwa ukali kuwa leo pesa sina kwanza nilikupa pesa ya watu..na nadaiwa..jamaa akaendelea kulia lia..pale..hapo mimi tayari nimechafuka roho..
Ikabidi nimbane kuwa ile pesa ya jana ana uhakika ni kweli alikuwa na shidaa..akagomaa gomaa baada ya kumbana sana akaniambia kweli ile pesa ya jana alikuwa hana shida ilikuwa ni fix tu ila leo ndio anashida kweli..daah nilichoka..nikawaza inawezekana hata ile ya juzi ilikuwa ni fix pia ila nikakaushaa..basi jamaa akaondokaa..ila amenifanya nimekuwa muoga sana..nikimuona muhitaji napita mbali kabisaa saivi..
Ila nimejifunza kitu kama haujajiandaa kisaikolojia kupokea negative return ya msaada wako usimsaidie mtu..kwa sasa mambo ni mengi.
ROBERT HERIEL kuna mada moja alilizungumzia hili..alikuwa sahihi
Nawasilisha..
Baada ya salamu jamaa akaanza kunieleza yanayomsibu ni kuwa ana hali mbaya sana kiuchumi ana mke na mtoto mmoja na hana kitu chochote chakula ndani na tangu asubuhi ameondoka mke na mtoto wake hawajala kitu mpaka muda huu wanamsubili yeye arudi kutoka kazini ili wale hata chakula cha usiku na bahati mbaya huko kazini alikokuwa anategemea hajapata kitu chochote hivo anaomba kama katika matumizi yangu nimebakiza hata chenji Tsh. 1000/= anaomba nimpe akanunue hata dagaa wale hata usiku huu tuu. Kesho ataona afanyaje..
Daaah niliingiwa na huruma hasa ukizingatia jamaa ni mtu mzima kunizidi na kwa upande wangu pia nimepitia maisha magumu sana sana hivo nilikuwa naelewa fika jamaa anazungumzia nini ..
To shorten the story..niilimpa jamaa kiasi kidogo tu cha pesa ambacho niliamini kwa familia yake kingemtosha usiku huo na asubuhi yake basi siku hiyo ikapita..
Kesho yake mida ya saa moja kasoro jioni..nimetulia zangu gheto nashangaa mtu anagonga mlango..kufungua naomuona jamaa wa jana (niliimaki sauiti) ..ila ikabidi nijifanye kama simkumbuki..basi tukakaa njee
Baada ya salamu ..jamaa akaniuliza kama namkumbuka..nikajibu hapana sikukumbuki..basi jamaa akajitambulisha upya..
Wazo lilonijia kichwani ni kuwa jamaa kaja kutoa shukrani kwa msaada wa jana..
Na ni kweli baada ya salamu jamaa akanishukuru sana kwa msaada wa jana..ila akasema leo ana shida nyingine ila leo hajaja kuomba kama jana badala yake anaomba nimkopee kiasi fulani cha pesa ana shida sana sana na mimi ndio msaada wake wa pekee hana msaada mwingine ..daah nilishangaa
Kiukweli pesa aliyokuwa anataka ni ndogo ila ni zaidi ya niliyompa jana..
Iakini pia siku hiyo alarm kichwani kwangu iligonga kuwa leo ni kama napigwa maana jamaa alikuwa na kaharufu fulani ka pombe japo maelezo yake yalikuwa straight sana..
Basi badaa ya kulia sana nimkopee..nikaamua sio mbaya..nimepoteza vingapi....nikampa nusu ya pesa aliyokuwa anahitaji..akashukuru sana..akaondoka..
Aisee sijakaa hata nusu saa nashangaa mtu huyu hapa tena anagonga mlango..kutoka ni jamaa
Nikamuuliza nini tena ndugu yangu..akasema anaomba saana sana yupo chini ya miguu yangu..jamaa alietakiwa kumsaidia kwa kiasi kile cha pesa amekataa kata kata kumsaidia anadai anataka hela yote ndipo atamtatulia shida yake..daah nilichoka..nikamwambia ndugu yangu mimi sina hela hata hiyo nusu niliuokuazima nimechukua ya watu..
Jamaa akalia sana sana..daah nikaona sasa hii ni kelo na kuondoa kelo..kishingo upande sana nikampa nusu tena kwaiyo ikawa pesa imekamilika aliyohitajii..jamaa akashukuru sana akaondoka ila nikamsisitiza sana kuwa hiyo pesa niliyomuazima ni ya watu hivo kesho ajitahidi kurejesha..jamaa akanihakikishia kuwa kesho pesa inarudi..basi siku hiyo ikapita..
Kesho yake mida ile ile ya saa moja kasoro jioni jamaa huyu hapa..tena alinikuta nimekaa nje namsubili kwa hamu maana nilikuwa nawaza ikifika saa mbili usiku huyu jamaa hajaonekana nihesabu maumivu ile hela nimepigwaa...maana hadi muda huo nilikuwa sijui anakaa wapi japo alisema ni mtaa mmoja
Kwaiyo nilivomuona jamaa..nikafurahi sana nikajua pesa yangu hii hapa...aisee daah
Basi kama kawaida baada ya salamu jamaa akanishukuru sana kwa msaada wa jana na kumuamini
Ghafla badala ya kunipa pesa yangu..nikashangaa jamaa anaanza kueleza tena shida zake..mara anaomba tena nimkopee hela nyinginee..
Nilishtuka ikabidi nimuangalie jamaa vizuri usoni..nikawaza au jamaa ni chizi...lakini mbona mavazi yake ni ya kawaida tu..nikawaza au amelewa ..lakini mbona hana dalili japo kweli kulikuwa na kaharufu ka pombe..kwa mbali..
Nikamwambia kwa ukali kuwa leo pesa sina kwanza nilikupa pesa ya watu..na nadaiwa..jamaa akaendelea kulia lia..pale..hapo mimi tayari nimechafuka roho..
Ikabidi nimbane kuwa ile pesa ya jana ana uhakika ni kweli alikuwa na shidaa..akagomaa gomaa baada ya kumbana sana akaniambia kweli ile pesa ya jana alikuwa hana shida ilikuwa ni fix tu ila leo ndio anashida kweli..daah nilichoka..nikawaza inawezekana hata ile ya juzi ilikuwa ni fix pia ila nikakaushaa..basi jamaa akaondokaa..ila amenifanya nimekuwa muoga sana..nikimuona muhitaji napita mbali kabisaa saivi..
Ila nimejifunza kitu kama haujajiandaa kisaikolojia kupokea negative return ya msaada wako usimsaidie mtu..kwa sasa mambo ni mengi.
ROBERT HERIEL kuna mada moja alilizungumzia hili..alikuwa sahihi
Nawasilisha..