NTINGINYA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 252
- 47
View attachment 31789 Mambo ya mtandao kugoma
...Sidhani kama ni fundi wa Tanesco, huyo ni kishoka aliyedakwa na MD wa Tanesco Eng. Mhando baadaye akamponyoka akamuachia Mhando shati lake mkononi yeye akatoka nduki nadhani hapo alikuwa akishughulika. Hana hata kifaa kimoja cha kufanyia kazi...Haya ni matatizo ya mafundi wetu wa tanesco. Hajui hata relation kati ya radiation zinazotoka ktk simu yake na nyaya hizo za umeme. Nampa pole ya kiungwana.