Huyu Issa Bin Mariamu ni nani? Uhusika wake ukoje?

Kusema Paulo hakuwa nabii labda n kwa sababu huzijui sifa za nabii.
Paul the Apostle, commonly known as Saint Paul and also known by his Hebrew name Saul of Tarsus, was a Christian apostle (although not one of the Twelve Apostles) who spread the teachings of Jesus in the first-century world. Hakuwa hata katika wanafunzi 12 na hakuna sehemu Paul katajwa kuwa ni Prophet. Yeye alidai kushukiwa na YESU kama leo unasikia manabii fake wanafufua wengine wameshukiwa muhimu vihoja na kuna watu wanawaamini kabisa.
 
Rejea petro wa 2 sura ya 3:15 mtume Petro anamtaja Paulo kama mtu aliyepewa hekima na MUNGU piah matendo 9:17 Paulo alipewa utume naye YESU KRISTO kupitia maneno ya anania
Paul the Apostle, commonly known as Saint Paul and also known by his Hebrew name Saul of Tarsus, was a Christian apostle (although not one of the Twelve Apostles) who spread the teachings of Jesus in the first-century world. Hakuwa hata katika wanafunzi 12 na hakuna sehemu Paul katajwa kuwa ni Prophet. Yeye alidai kushukiwa na YESU kama leo unasikia manabii fake wanafufua wengine wameshukiwa muhimu vihoja na kuna watu wanawaamini kabisa
 
Mnapomjadili Issa Bin Marriam, basi mjadilini Issa Bin Marriam.
Wa kwenye Qurani.

Hivi kuna ulazima gani kutumia kitabu kingine kinacho mzungumzia mtu mwingine ?

Mi nadhani Qurani inajitoshereza na Imemwelezea vizuri tu tena kwa mapana
ISAA BIN MARRIAM.
 
Mnapomjadili Issa Bin Marriam, basi mjadilini Issa Bin Marriam.
Wa kwenye Qurani.

Hivi kuna ulazima gani kutumia kitabu kingine kinacho mzungumzia mtu mwingine ?

Mi nadhani Qurani inajitoshereza na Imemwelezea vizuri tu tena kwa mapana
ISAA BIN MARRIAM.
Nisaidie kuujua ukoo wa ISSA BIN MARRIAM wa kwenye Qurani tukufu......toa na ushahidi wa kimaandiko maana nmetafuta Qurani nzima sijauona.
 
Nisaidie kuujua ukoo wa ISSA BIN MARRIAM wa kwenye Qurani tukufu......toa na ushahidi wa kimaandiko maana nmetafuta Qurani nzima sijauona.
Mi sio Mwislamu.
Waulize Waislamu wanaotumia Qurani nina uhakika watakuelezea vizuri Ukoo wa Issa Bin Marriamu.

Mimi binafsi simfahamu Issa Bin Marriam kwakuwa sijamfuatilia maisha yake ya kifamilia.

Waulize Waislamu nina uhakika watakufafanulia vizuri.
 
Tahadhali : huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala qwa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini ktk namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.

Mimi nikupe majibu kwa ufaham wangu
1. Nabii issa Anatambulika kwa jina la Issa Bin Mariam kwa kuwa amezaliwa na Mama Bila baba.
2. Kwenye Uislam Isa Bin Mariam ni mtume kama mitume wengine aliyetumwa na Mungu kwa kazi maalum (kila mtume alikuja kwa jukumu maalum kuendana na changamoto mbalimbali ikiwepo kuamini vitu tofauti na mungu, magonjwa, machafu, nk
3. Sasa ukisema wasio tumia qurani watamtambua kama mtume wao; kama unarefer Quran maana yake unaongelea Waislam sasa sijui nikusaidieje?
 
Mimi naamini ni mtu huyo huyo tofauti za details hizo mimi sio mwanachuo wa kuzifafanunua sina elimu hiyo ila tunaamini tu Hebrew bible na new tastement kuna miaka 400 ilipita hapo ndio maana wa hebrew wenyewe wamekataa yote katika New tastement na kusema dini ya Paul na yesu mama yake alitembea nje ya ndoa kwa hiyo sio Mesiah huyo aliyetabiriwa katika Hebrew bado hajaja ila alikuwa mtu mzuri na mhubiri mzuri tu lakini sio Mesiah. Alitabiriwa kuja jibu yes je ndio huyo Jews wanasema No ila waislamu na wakristo wanasema ni yeye majina sio muhimu maana hata Joseph ni Yusuph lakini mtu mmoja. hesabu iko hivi Jews na uislamu kuna mambo wanafanana. Islam na Christian yako mambo wanakubaliana. Jew na Christian hawafanani kabisa story tofauti.
yesu sio isa elewa hivo, joseph na yusuph ni english to swahili ,isa na yesu hata maana ni tofauti kabisa/ yusuph na joseph maana ni MOJA

waislamu mnafanana nini na jews? wakristo agano la kale ndio lilelile linalotumika na wayahudi kila kitu kama TANAKH


HALAFU acha kudanganywa wayahudi hawautaki UKRISTO....Hao hao wayahudi wana madhehebu ya kikristo kama mesianic faith ...


kutokuamini kwao baadhi hakubadili kitu



WARUMI 3​

1Basi Myahudi ana nini zaidi? Na kutahiriwa kwafaa nini? 2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu. 3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutoamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu? 4 La hasha! Mungu aonekane kuwa kweli japo kila mtu ni mwongo; kama ilivyoandikwa,
Ili ujulikane kuwa una haki katika maneno yako,

Ukashinde uingiapo katika hukumu.
 

Usijifanye unajua uchambuzi sana wa dini ikiwa biblia yenyewe unayoifuata ina vitu inavyopingana kibao. Nakupa mfano wa hizo aya za kwenye biblia. Na zipo nyingi za namna hiyo. Ikiwa kuna makosa kama hayo kuhusu umri wa kutawala Ahazia ndani ya Jerusalem. Vipi kuhusu huyo Yesu?​

2 Wafalme 8:26​

Ahazia alianza kutawala akiwa na umri wa miaka ishirini na miwili, akatawala kutoka Yerusalemu kwa muda wa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa mfalme Omri mfalme wa Israeli.

2 Mambo ya Nyakati 22:2​

Ahazia, alianza kutawala akiwa mwenye umri wa miaka arubaini na miwili, akatawala kutoka Yerusalemu kwa muda wa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.
This is clearly a copyist error, and there is sufficient evidence to demonstrate that Ahaziah was 22 years old when he began to reign in Judah. In 2 Kings 8:17, we find that Joram, father of Ahaziah and son of Ahab, was 32 years old when he became king. Joram died at age 40, eight years after becoming king. Consequently, his son Ahaziah could not have been 42 when he took the throne after his father’s death, otherwise he would have been older than his father.
 
yesu sio isa elewa hivo, joseph na yusuph ni english to swahili ,isa na yesu hata maana ni tofauti kabisa/ yusuph na joseph maana ni MOJA

waislamu mnafanana nini na jews? wakristo agano la kale ndio lilelile linalotumika na wayahudi kila kitu kama TANAKH


HALAFU acha kudanganywa wayahudi hawautaki UKRISTO....Hao hao wayahudi wana madhehebu ya kikristo kama mesianic faith ...


kutokuamini kwao baadhi hakubadili kitu



WARUMI 3​

1Basi Myahudi ana nini zaidi? Na kutahiriwa kwafaa nini? 2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu. 3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutoamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu? 4 La hasha! Mungu aonekane kuwa kweli japo kila mtu ni mwongo; kama ilivyoandikwa,
Ili ujulikane kuwa una haki katika maneno yako,

Ukashinde uingiapo katika hukumu.
Jews hawaamini kabisa kitu YESU acha kupotosha hapa nenda kasome imani ya wayahudi YESU hana nafasi yoyote katika dini yao.
 
Rejea petro wa 2 sura ya 3:15 mtume Petro anamtaja Paulo kama mtu aliyepewa hekima na MUNGU piah matendo 9:17 Paulo alipewa utume naye YESU KRISTO kupitia maneno ya anania
YESU yeye kapewa utume halafu yeye akamteuwa mtu mwingine utume wakati Paul mwenyewe kwa madai yake kuwa alishukiwa na Mungu wakati wala hakuwa hata katika wanafunzi 12 wa YESU. Mbona mnachanganya mnaamini YESU aliondoka na atarudi tena sasa Paul katokea wapi maana hakupewa utume na Mungu wala YESU ni madai yake tu ndio sababu ya kuja na agano jipya.
 
Upotovu wake Paulo uko wap taja moja baada ya mwingn
Paul hakuwa hata mwanafunzi wa YESU yeye anadai kama yeye kashukiwa kaambiwa nani atathibitisha hilo ikiwa hakuna sehemu katika Hebrew Bible jina la Paul humo alikuwa mhubiri tu janja janja ndio maana wayahudi wanasema dini ya Paul.
 
Upotovu wake Paulo uko wap taja moja baada ya mwingn
According to both sources, Paul was not a follower of Jesus and did not know him before his crucifixion. Paul's conversion occurred after Jesus's crucifixion. sasa hayo aliyoandika katoa wapi?
 
Paul hakuwa hata mwanafunzi wa YESU yeye anadai kama yeye kashukiwa kaambiwa nani atathibitisha hilo ikiwa hakuna sehemu katika Hebrew Bible jina la Paul humo alikuwa mhubiri tu janja janja ndio maana wayahudi wanasema dini ya Paul.
Hivi Mwamedi nae huo utume alipewa na Nani ndugu maana Mimi naona janja janja ya Paul na Mwamedi ni moja wote kujifanya wameshukiwa na Mungu na kupewa maono na hapo hapo wakajiita mitume
Napata ukakasi wa kutenganisha Kati ya
Paulo......mkristo
Mohammed....mwislam
 
YESU yeye kapewa utume halafu yeye akamteuwa mtu mwingine utume wakati Paul mwenyewe kwa madai yake kuwa alishukiwa na Mungu wakati wala hakuwa hata katika wanafunzi 12 wa YESU. Mbona mnachanganya mnaamini YESU aliondoka na atarudi tena sasa Paul katokea wapi maana hakupewa utume na Mungu wala YESU ni madai yake tu ndio sababu ya kuja na agano jipya.
ACHA UPOTOSHAJI, MITUME WENYEWE WA YESU WALIMKUBALI PAULO...


2 PETRO 3

14Kwa hiyo wapenzi wangu, mkiwa mnaingojea siku ile, fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu, na kuwa na amani naye. 15Mnapaswa kuuona uvumilivu wa Bwana kuwa ni nafasi anayowapeni mpate kuokolewa, kama Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na Mungu. 16Hayo ndiyo asemayo katika barua zake zote anapozungumzia suala hilo. Yapo mambo kadhaa katika barua zake yaliyo magumu kuyaelewa, mambo ambayo watu wajinga, wasio na msimamo, huyapotosha kama wanavyopotosha sehemu nyingine za Maandiko Matakatifu. Hivyo wanasababisha maangamizi yao wenyewe.
 
Jews hawaamini kabisa kitu YESU acha kupotosha hapa nenda kasome imani ya wayahudi YESU hana nafasi yoyote katika dini yao.
ACHA UONGO , SIO JEWS WOTE HAWAAMINI KUHUSU YESU


UNAWJUA MESIANIC FAITH?

Messianic Jews consider themselves Jewish Christians. Specifically they believe, as do all Christians, that Jesus is the son of God, as well as the Messiah, and that he died in atonement for the sins of mankind. There are approximately 175,000 to 250,000 messianic Jews in the U.S, and 350,000 worldwide

MUNGU ALISHASEMA KUHUSU HAO WASIOAMINI HAWABADILI KITU

Warumi 3
Swahili NT
1Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani? 2Naam, iko faida kwa kila upande. Kwanza, Mungu aliwakabidhi Wayahudi ujumbe wake. 3Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu?
4Hata kidogo! Mungu hubaki mwaminifu daima, ingawaje kila binadamu ni mwongo. Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Kila usemapo, maneno yako ni ya haki; na katika hukumu, wewe hushinda."
5Lakini, ikiwa uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu anatenda kwa haki, tutasema nini? Je, tutasema kwamba anakosa haki akituadhibu? (Hapa naongea kibinadamu). 6Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu? 7Labda utasema: "Ikiwa ukosefu wa uaminifu kwa upande wangu unamdhihirisha Mungu kuwa mwaminifu zaidi na hivyo kumpatia utukufu, basi singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!" 8Ni sawa na kusema: tufanye maovu ili tupate mema! Ndivyo wengine walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. Watahukumiwa wanavyostahili!
 
Hivi Mwamedi nae huo utume alipewa na Nani ndugu maana Mimi naona janja janja ya Paul na Mwamedi ni moja wote kujifanya wameshukiwa na Mungu na kupewa maono na hapo hapo wakajiita mitume
Napata ukakasi wa kutenganisha Kati ya
Paulo......mkristo
Mohammed....mwislam
ALIPEWA NA SHETANI, BI KHADIJA NDIO AKAMSIMIKA RASMI KUWA MTUME

1621680903842.png
 
Jews hawaamini kabisa kitu YESU acha kupotosha hapa nenda kasome imani ya wayahudi YESU hana nafasi yoyote katika dini yao.
ACHA UONGO AU KAMA HUJUI ULIZA, WAYAHUDI WASIOMKUBALI YESU WAPO NA WASIOMKUBALI WAPO


UNAWAJUA MESIANIC FAITH?

Messianic Jews consider themselves Jewish Christians. Specifically they believe, as do all Christians, that Jesus is the son of God, as well as the Messiah, and that he died in atonement for the sins of mankind. There are approximately 175,000 to 250,000 messianic Jews in the U.S, and 350,000 worldwide


HAWA WANAOAMINI KAMA WAKRISTO WAPO 175,000 HADI 250,000
 
YESU yeye kapewa utume halafu yeye akamteuwa mtu mwingine utume wakati Paul mwenyewe kwa madai yake kuwa alishukiwa na Mungu wakati wala hakuwa hata katika wanafunzi 12 wa YESU. Mbona mnachanganya mnaamini YESU aliondoka na atarudi tena sasa Paul katokea wapi maana hakupewa utume na Mungu wala YESU ni madai yake tu ndio sababu ya kuja na agano jipya.
Kama unatoa hoja zako kwa kutumia kitabu kingne hayo maneno yako n sawa lkn kama unaongelea kuhusu YESU aliye ndani biblia bas hakupewa utume mahali popote ukipenda nipe fungu linalosema alipewa utume. Labda kama unamsea Issa ambaye n mtu mwingne tofauti na YESU KRISTO
 
Back
Top Bottom