Huyu hapa mmiliki wa Yas

Huyu hapa mmiliki wa Yas

huduma zimekuwa mbovu sana ukituma hela au kupokea hela meseji hazirudi wala kuja na jina ni baya kwanini wasingeweka Yas pesa kuliko hayo ma mixx
Hao watajuta sana miaka yote kutotumia Yas Pesa. Ingembamba kweli kweli hilo jina. Lakini kwa sababu upeo wa ubunifu wao ndipo ulipoishia, hakuna namna.

Jina baya kuliko hata ubaya wenyewe.
 
Madagascar haya ngoja tuendelee.

Seychelles, Mauritus nk nakumbuka enzi zangu za usailor, Kuna watoto wazuri sana hayo maeneo, rangi rangi fulani original, important thing kwangu ilikuwa pressure washer tu kabla mambo hayajaendelea bila kusahau pale Manila na wajuaji wa Durban.. hahahaha Dunia bwana, pongezi kwa mabaharia wote aka wazee wa deep sea, high waves and cool night, kontena lazima zifike.
Seychelles Kuna usafiri wa maji kutokea Dar au Zanzibar
 
Wenyewe
 

Attachments

  • Screenshot_20241130-203942_Instagram.jpg
    Screenshot_20241130-203942_Instagram.jpg
    102.8 KB · Views: 12
Duh! Kulitamka tu ni shughuli pevu, wengine wanatamka yash, wengine yes, kasheshe zaidi ni mixx bya yas, hiyo mixx wengine wanaitamka miksi, wengine miss ni tafrani tupu katika matamshi ya kampuni hii. Waliobuni jina na swaga yake ya kutuma na kupokea fedha akili zao wanazifahamu wenyewe
 
Back
Top Bottom