Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,715
- 699,021
- Thread starter
- #41
Feminism kwani yeye ni nani mpaka aniamrishe!Mkuu naunga mkono hoja:
1. "Waziri ni mdomo wa rais, akisema waziri ni agizo la serikali lenye ridhaa ya rais na organs za serikali zinachotakiwa kufanya ni KUTEKELEZA KWANZA!"
2. "Pili mzee Sirro alikuwa kwenye nafasi nzuri kabisa kujibu kuwa wanafanga mawasiliano na wizara au na waziri ..! Full stop!"
Alichokuwa kaongelea Waziri ilikuwa kumhoji Gwajima:
Kumwita akaja mwenyewe wakasalimiana na kisha Gwajiboy akaendelea na hamsini zake wakati wanaweka mambo ndani sawa, hata kama hakupenda kumkamata ilitosha sana. Ila sasa:
Gwajima, Sirro japo mmoja Ang'oke
a) sijapewa barua
b) hata nikipewa barua hadi njijiridhishe
c) mimi ninesikia mitandaoni tu
Ohooo. Hapo Sirro kwa maana nyingine kamdindia waziri. Kwa sababu zake kaidindia serikali.
Kumbe Sirro kidume cha mbegu!