- Thread starter
- #21
Sawa nashukuru kwa comment yakoni mtoto wa ndani
Sawa nashukuru kwa comment yakoni mtoto wa ndani
Wakuu habari zenu?
Naomba kwa anayeifahamu vizuri Familia ya waziri mkuu mstaafu mh. Mizengo Pinda anisaidie kujua huyu jamaa anaitwa Don Mizengo Pinda ni mtoto kweli wa mheshimiwa au la.
Kuna issue naifatilia kuhusu huyu jamaa, Nikipata majibu nitakuja na mwendelezo wa andiko langu.
Asanteni.
Chawa ni hatari Sana kwa kujiingiza na kujidai ni Wana familia.Wakuu habari zenu?
Naomba kwa anayeifahamu vizuri Familia ya waziri mkuu mstaafu mh. Mizengo Pinda anisaidie kujua huyu jamaa anaitwa Don Mizengo Pinda ni mtoto kweli wa mheshimiwa au la.
Kuna issue naifatilia kuhusu huyu jamaa, Nikipata majibu nitakuja na mwendelezo wa andiko langu.
Asanteni.
Umesahau kuwa katika kila Watanzania 5 Watanzania 2 ni Wendawazimu wasiojitambua?Sasa unamjua wewe unatuuliza sisi
Kwani Mizengo Pinda ni jina la kibiashara! Lina hakimiliki? Mbona na wewe kuna watu wengi wenye jina kama lakoWakuu habari zenu?
Naomba kwa anayeifahamu vizuri Familia ya waziri mkuu mstaafu mh. Mizengo Pinda anisaidie kujua huyu jamaa anaitwa Don Mizengo Pinda ni mtoto kweli wa mheshimiwa au la.
Kuna issue naifatilia kuhusu huyu jamaa, Nikipata majibu nitakuja na mwendelezo wa andiko langu.
Asanteni.
Tutake radhi kipenz changuUmesahau kuwa katika kila Watanzania 5 Watanzania 2 ni Wendawazimu wasiojitambua?
Wapenzi wa Kike nilionao nadhani wananitosha hivyo sihiaji tena Mpenzi mwingine wa Kike ajipendekeze Kwangu kama ufanyavyo.Tutake radhi kipenz changu
We wa kiume Au wa kike?Wapenzi wa Kike nilionao nadhani wananitosha hivyo sihiaji tena Mpenzi mwingine wa Kike ajipendekeze Kwangu kama ufanyavyo.
Jamaa sijui kapotelea wapi? Au yupo USA anaandaa album mpyaUwe makini! Asije akawa ni huyu Don Nalimison, amebadili tena jina na kujiita DON Mizengo Pinda.
Huyu msanii wetu wa jf sijui kapotelea wapi siku hizi aisee.Uwe makini! Asije akawa ni huyu Don Nalimison, amebadili tena jina na kujiita DON Mizengo Pinda.
Anayekupaga Mimba zake ni wa Kike au wa Kiume?We wa kiume Au wa kike?
Atakuwa alitapeliwa huyuMkuu umeanza kupotoka lini?[emoji28]