Huyu Don Mizengo Pinda ni nani?

Huyu Don Mizengo Pinda ni nani?

nyak's

Member
Joined
Oct 4, 2014
Posts
70
Reaction score
54
Wakuu habari zenu?

Naomba kwa anayeifahamu vizuri Familia ya waziri mkuu mstaafu mh. Mizengo Pinda anisaidie kujua huyu jamaa anaitwa Don Mizengo Pinda ni mtoto kweli wa mheshimiwa au la.

Kuna issue naifatilia kuhusu huyu jamaa, Nikipata majibu nitakuja na mwendelezo wa andiko langu.

Asanteni.
 
Ndio huyu tuliekuwa nae mlimani/udsm au ?
Wakuu habari zenu?
Naomba kwa anayeifahamu vizuri Familia ya waziri mkuu mstaafu mh. Mizengo Pinda anisaidie kujua huyu jamaa anaitwa Don Mizengo Pinda ni mtoto kweli wa mheshimiwa au la. Kuna issue naifatilia kuhusu huyu jamaa, Nikipata majibu nitakuja na mwendelezo wa andiko langu.
Asanteni.
 
Unatarajia mtu ataweka taarifa za mtu hapa bila kujua unamtafuta kwa sababu gani?

Sijajua unaemlenga ila kuna jamaa moja anawezakua ndio yeye unamuulizia.
Sio kwa ubaya ndugu ndiyo maana hata shida yangu ni moja tu kupata uhakika kwa wanaomfahamu kama kweli ni mtoto wa kuzaa wa mheshimiwa na si zaidi ya hapo
 
Sio kwa ubaya ndugu ndiyo maana hata shida yangu ni moja tu kupata uhakika kwa wanaomfahamu kama kweli ni mtoto wa kuzaa wa mheshimiwa na si zaidi ya hapo


wahenga walisema kitanda hakizai ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom