Huyu dereva huo sio uendeshaji wa Gari

Huyu dereva huo sio uendeshaji wa Gari

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
Jana majira ya saa 10 jioni nikiwa Igunga gari yenye namba za usajiri KUB ikiwa na bendera ya taifa ilitupita ikielekea shinyanga jamani huo sio mwendo, ni hatari kama sio balaa, sasa unakimbilia wapi? trafik nao wakiona bendera wanakimbilia vichakani, wakamateni hata kama ni msafara wa JPM kama uko katika mwendo hatarishi wakamateni, hii tutaokoa maisha ya watu na rasilimali za taifa. Leo tena nimesikia gari ya mkubwa umeparamia gari ndogo. Viongozi na watumishi wa umma na wabunge wawe mstari wa mbele kutii sheria za barabarani jamani.
 
Jana majira ya saa 10 jioni nikiwa Igunga gari yenye namba za usajiri KUB ikiwa na bendera ya taifa ilitupita ikielekea shinyanga jamani huo sio mwendo, ni hatari kama sio balaa, sasa unakimbilia wapi? trafik nao wakiona bendera wanakimbilia vichakani, wakamateni hata kama ni msafara wa JPM kama uko katika mwendo hatarishi wakamateni, hii tutaokoa maisha ya watu na rasilimali za taifa. Leo tena nimesikia gari ya mkubwa umeparamia gari ndogo. Viongozi na watumishi wa umma na wabunge wawe mstari wa mbele kutii sheria za barabarani jamani.
Mbona hulalamikii msafara wa rais au makamu wa rais au waziri mkuu?
 
Kwahyo sasa . siasa mpaka kwny magari?
kwahiyo ukipeperusha bendera ya taifa ndio usifuate sheria za barabarani? kwani mwenye makosa ni dereva au mkubwa? trafiki watizimize wajibu wao wakamate gari linalokiuka sheria, usalama wa raia na mali zao ni jukumu la kila mtu.
 
KUB ni plet no ya kambi rasmi ya upinzani bungeni ambaye ni mbowe
mie naongelea dereva wa gari, inawezekana mwenye gari hakuwemo, nadhani angekuwemo lisingeendeshwa kasi hivyo.
 
Jana majira ya saa 10 jioni nikiwa Igunga gari yenye namba za usajiri KUB ikiwa na bendera ya taifa ilitupita ikielekea shinyanga jamani huo sio mwendo, ni hatari kama sio balaa, sasa unakimbilia wapi? trafik nao wakiona bendera wanakimbilia vichakani, wakamateni hata kama ni msafara wa JPM kama uko katika mwendo hatarishi wakamateni, hii tutaokoa maisha ya watu na rasilimali za taifa. Leo tena nimesikia gari ya mkubwa umeparamia gari ndogo. Viongozi na watumishi wa umma na wabunge wawe mstari wa mbele kutii sheria za barabarani jamani.
Hivi wewe una akili kweli??
 
kwahiyo ukipeperusha bendera ya taifa ndio usifuate sheria za barabarani? kwani mwenye makosa ni dereva au mkubwa? trafiki watizimize wajibu wao wakamate gari linalokiuka sheria, usalama wa raia na mali zao ni jukumu la kila mtu.
Kamateni anayehatarisha usalama kwanza kwa kuwagawa watu
 
Umepewa sh ngapi?au unataka ujulikane na wewe upo?
 
Back
Top Bottom