Huyu demu anataka kuolewa sasa

Huyu demu anataka kuolewa sasa

Wewe ni Demu!! unatumia AVATAR ya kiume, sasa imekuathiri hatamtaani unaonekana kama mwanaume, hata wewe unajihisi umekuwa mwanaume, umekosa soko la kuolewa, sasa 2019 inaanza unashtuka umri unakwenda, nakushauri achana kwanza na mambo ya kujifanya mwanaume kifikra na kimavazi na tena badilisha ama futa hiyo avatar yako ili uonekane mwanamke halisi !!!tena fanya jitihada kabisa uwe verified user.
 
Hivyo kakutuma au umejuaje kama ana hitaji hilo?
Hata mm sijamuelewa,labda ulikuwa naye kwenye uhusiano kakukutosa unamsambazia Picha zake? Aaah si vizuri but kama umetumwa upige promo ndugu yangu Zero IQ yupo
 
Back
Top Bottom