Huyu dada nimueleweje?

Huyu dada nimueleweje?

ranjan

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
338
Reaction score
288
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.

Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp.

Nimueleweje?
 
Mkuu ameamuwa kukutunuku kwaiyo iyo pesa fanya kujipongeza lkn uwenda alicho kitegemea kutoka kwako ajakipata lkn ww umekipata ndo maana umekuja kulalamika na kufungua uzi
 
Ni Mara ya pili ,Mara ya Kwanza sikumpa at Mia, anaondoka kwa furaha,baada Kama ya wiki mbili ananipigia kuwa ana shida nikamwambia kwa Sasa Sina avumilie Hadi mwisho wa mwezi, ndiyo tumeonana Jana Tena ,leo kanifanyia hayoo
Kumbe alishakulilia shida?
Naona ametafsiri kuwa humjali. Unachojali ww ni pussy tu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kumbe alishakulilia shida?
Naona ametafsiri kuwa humjali. Unachojali ww ni pussy tu.
Ni kweli mkuu tena amenitamkia nauli yeye anayo, ila aliniambia yeye aliniomba hela anashida ,so nikipata nitampa na akaikataa hiyo elfu tano, nimejiskia vibaya Sana kwali alivyoikataa pesa yangu.
 
Kumbe alishakulilia shida?
Naona ametafsiri kuwa humjali. Unachojali ww ni pussy tu.
Ni kweli mkuu tena amenitamkia nauli yeye anayo, ila aliniambia yeye aliniomba hela anashida ,so nikipata nitampa na akaikataa hiyo elfu tano, nimejiskia vibaya Sana kwali alivyoikataa pesa yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom