mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Hovyo sana mkuu.
Tyuu..
Hakika linanichefua hil neno
Tyuu..
Hakika linanichefua hil neno
Alivyoamua baada ya goli akadai nauliAlivyoamuka akakimbilia jikoni akakuta maharage yameshaungua tayari- muendelezo wake huo.
Mtego wa panya unaonasa mpk pakaHii sio tu ni free lunch bali ni mtego wa panya
Mwambie Katibu Tarafa akusomee hiki ulichoandika. Elimu bure jiunge MEMKWAGamboshi radio si ya kuchukua kutoka kwa mwenyekiti, hua zinatoa sauti kutoka kwny transformer direct.
Na lazima alinasa mtegoni huyu,mazoea ya kijinga hivo eti safari, sitoruhusu mume wangu asafiri mwenyewe mimi
![]()
kama mambo ndyo hivi humo safarinii
NdioAhahahahahahahah.
Jamaa anasasfiri na stress au co??
Aiseee, kwani ujauzito ni ugonjwa mkuu?Nikikujaza mimba huna ujanja
Mara tutasikia ya tunda kimasihara...Kama kichwa cha habari hapo juu nipo safarini ni mwendo mrefu kweli inmekaa seat moja na binti mmoja mzuri kiwastani sasa tumekuwa tunapiga story za hapa na pale mara akaanza kusinzia nami nkaona isiwe shida mbona anaangaika mara kwenye bamz anastuka nkamwambia emu lala hapa mapajani kwa kwangu
Ameanza kwa kunionea huruma mara ooh mm kichwa changu kizito ila baadae naona kashuka mwenyewe.
Tulivyofika mkoa flani hivi stend akaamuka nkajua hatolala tena.
Mara paa naona ananilalia tena mwenyewe tena kaweka na sweta kabisa namsikilizia anaota. Mwanzoni nilihisi net work inaweza kuanza serch lakini naona nme reluxy.
Hapa nafikiria tukishuka kula nimnulie na msosi tukifka tu mwisho wa safari nchukue na namba.
Ni kwa nia njema tyu wadau haijawahi nikuta hii.
"Abiria chunga mzigo wako".Sasa mizigo mingine hata ukisafir nayo huwa inakaa kwenye buti na huwez kuikagua kama hushuki mwisho wa safar..sijui unachungaje hapo..
Inabid uwe mpole tu
,mizigo ya kwenye butii, wangu ntakaa nao ndani hamna kuwekwa kweye buti , yaani nasafiri naye everywhere aisee ,sitaki mambo ya vidada kulalia mapaja ya watu

Kama kichwa cha habari hapo juu nipo safarini ni mwendo mrefu kweli inmekaa seat moja na binti mmoja mzuri kiwastani sasa tumekuwa tunapiga story za hapa na pale mara akaanza kusinzia nami nkaona isiwe shida mbona anaangaika mara kwenye bamz anastuka nkamwambia emu lala hapa mapajani kwa kwangu
Ameanza kwa kunionea huruma mara ooh mm kichwa changu kizito ila baadae naona kashuka mwenyewe.
Tulivyofika mkoa flani hivi stend akaamuka nkajua hatolala tena.
Mara paa naona ananilalia tena mwenyewe tena kaweka na sweta kabisa namsikilizia anaota. Mwanzoni nilihisi net work inaweza kuanza serch lakini naona nme reluxy.
Hapa nafikiria tukishuka kula nimnulie na msosi tukifka tu mwisho wa safari nchukue na namba.
Ni kwa nia njema tyu wadau haijawahi nikuta hii.
Ahahahahah..Haya mkuu.All the best. Ila si unajua bora "wali maharage" kuliko "walimwengu"?![]()
![]()
,mizigo ya kwenye butii, wangu ntakaa nao ndani hamna kuwekwa kweye buti , yaani nasafiri naye everywhere aisee ,sitaki mambo ya vidada kulalia mapaja ya watu
![]()
![]()
Aiseee, kwani ujauzito ni ugonjwa mkuu?
HahahahahahahahUkishamkula huyo uende kule kwenye Uzi wa mabaharia wanaokula tunda kimasihara ukatoe mrejesho
Wee, watu wanakua strong mpaka siku anajifungua ujue hutoamianiiNusu ya ugonjwa hasa kuanzia mwezi wa 7
Last week nilipata tukio kama la mleta mada, yani binti hatufahamiani lakini mazoea mengi na aliomba kubadili siti akae na mimiNa lazima alinasa mtegoni huyu,mazoea ya kijinga hivo eti safari, sitoruhusu mume wangu asafiri mwenyewe mimi
![]()
kama mambo ndyo hivi humo safarinii


. Kama ningeingia mtegoni na hizi nyuzi za leo lazima ninge uninstall app ya jf kabisa



Ohooo, inakuaje mtu mpaka anakuletea mazoea ya hivo aisee, ungejutaaLast week nilipata tukio kama la mleta mada, yani binti hatufahamiani lakini mazoea mengi na aliomba kubadili siti akae na mimi. Kama ningeingia mtegoni na hizi nyuzi za leo lazima ninge uninstall app ya jf kabisa
![]()

Kwa jinsi nilivyo kauzu watu wa hivyo hua nawaona kama wana agenda za siriOhooo, inakuaje mtu mpaka anakuletea mazoea ya hivo aisee, ungejutaa![]()
![]()


unaweza bebeshwa mizigo usiyoitegemea .Aisee, kama nakuona ulivokua unashangaa moyoniKwa jinsi nilivyo kauzu watu wa hivyo hua nawaona kama wana agenda za siriunaweza bebeshwa mizigo usiyoitegemea .
, ila wengine ni wachangamfu mpaka wamezidi kumshobokea mtu usiyemfahamu hivo vipii