Asije leta uzi kaambukizwa Ukimwi kimasiharaNaona umeokota dodo kwenye mnazi, angalia usije ukawa wewe ndio Fursa
Alivyoamuka akakimbilia jikoni akakuta maharage yameshaungua tayari- muendelezo wake huo.Nmeishia hapa....."Akaamuka"
NakaziaUkipewa biskuti ukumbuke kuleta mrejesho
Isamilo expressscientificall,
Basi gani hilo mkuu? Nina safsri kesho.
Palizi kwenye Jamii Foramu'TYU'?
Wanaume wa dar kama dada zao vile,wanaume wa mkoani tuko kwny palizi.
Ukishamkula huyo uende kule kwenye Uzi wa mabaharia wanaokula tunda kimasihara ukatoe mrejesho
scientificall, Cc wazee wa kula tunda kimasihara chini ya Mwenyekiti rikiboy
Unawezaje kulala mapajani Kwa mtu kwanza tena usiyemfahamu?, kwamba ni mume ama? Dada mwenyewe hajitambui ,nawewe unaanzaje kutoa offer ya mtu kukulalia?