Huyu dada mi navutiwa naye!

Huyu dada mi navutiwa naye!

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,989
Reaction score
5,066
Huwa nikisoma coment zake moyo wangu unalipuka, paaa! Nikizitafakari huwa nafikiria namna na yeye alivyo kiundani. Huwa nahisi ni mtu mwenye busara na hekima ambayo wengi wamekosa siku hizi. Akiweka na utani huwa naishia kucheka peke yangu. Huwa natamani kumgongea like kila comment yake lakini kamchina kangu hakawezi. Nimefuatilia thread na comment zake nahisi bado yuko ON! Mwaka huu najilipua. amu hii ni kwa ajili yako, hakuna mwingine!
 
Last edited by a moderator:
Huwa nikisoma coment zake moyo wangu unalipuka, paaa! Nikizitafakari huwa nafikiria namna na yeye alivyo kiundani. Huwa nahisi ni mtu mwenye busara na hekima ambayo wengi wamekosa siku hizi. Akiweka na utani huwa naishia kucheka peke yangu. Huwa natamani kumgongea like kila comment yake lakini kamchina kangu hakawezi. Nimefuatilia thread na comment zake nahisi bado yuko ON! Mwaka huu najilipua. amu hii ni kwa ajili yako, hakuna mwingine!

kuna AMU wawili humu??
 
Haaaaaaaaaaaa huyu dada ni mpenzi wangu tunasaidiana na Tuko, labda we uwe namba3. amu unakubali hii kitu?
Jawilat asante kuniita hapa, we rfk wa kweli! Nakomaa hadi mwisho, Tuko uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Huwa nikisoma coment zake moyo wangu unalipuka, paaa! Nikizitafakari huwa nafikiria namna na yeye alivyo kiundani. Huwa nahisi ni mtu mwenye busara na hekima ambayo wengi wamekosa siku hizi. Akiweka na utani huwa naishia kucheka peke yangu. Huwa natamani kumgongea like kila comment yake lakini kamchina kangu hakawezi. Nimefuatilia thread na comment zake nahisi bado yuko ON! Mwaka huu najilipua. amu hii ni kwa ajili yako, hakuna mwingine!

We humpendi, mbona alitangaza anasaka mume we ulikuwa wapi? Hauko serious mkuu, jaribu mwingine
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaaaaaaaa huyu dada ni mpenzi wangu tunasaidiana na Tuko, labda we uwe namba3. amu unakubali hii kitu?
Jawilat asante kuniita hapa, we rfk wa kweli! Nakomaa hadi mwisho, Tuko uko wapi?

Sasa huu ushindani mi naona ushakuwa mwingi... Mkuu Jerrymsigwa mi naona nikuachie tu maana amu mwenyewe kapiga kimya...
 
Last edited by a moderator:
We humpendi, mbona alitangaza anasaka mume we ulikuwa wapi? Hauko serious mkuu, jaribu mwingine

oyaaaa chuna kiduchu hii comment ilitakiwa cc bana hapa utanjazia pm bwana!!
 
Zamani posa ilikuwa inapelekwa na wazazi wa kijana tena kwa heshima huko nyumbani kwa wazazi wa binti....

Siku hizi kumbe hata wazazi hawana haja bali mnapeleka JF??
amu wambie waje kwa babu ili usije kupewa laana bure...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom