Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Huwa nikisoma coment zake moyo wangu unalipuka, paaa! Nikizitafakari huwa nafikiria namna na yeye alivyo kiundani. Huwa nahisi ni mtu mwenye busara na hekima ambayo wengi wamekosa siku hizi. Akiweka na utani huwa naishia kucheka peke yangu. Huwa natamani kumgongea like kila comment yake lakini kamchina kangu hakawezi. Nimefuatilia thread na comment zake nahisi bado yuko ON! Mwaka huu najilipua. amu hii ni kwa ajili yako, hakuna mwingine!
Last edited by a moderator: