Huyu dada kanipenda au ndo maigizo?

Huyu dada kanipenda au ndo maigizo?

mangi mandara

Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
64
Reaction score
2
shkamooni wakubwa zangu wadogo zangu marahaba,

Mimi ni kijana nna miaka23, nna mpenzi wangu mpaka sasa ni miez mitatu niko nae.Tatizo lake nisipompigia simu au sms walau siku mbili basi ujue ni shida.

Kama leo kaka ake kanipigia simu ananambia mbona,anapasua simu huku home? nkamwambia mi sijui chochote.

Baadae nkapga simu iliita kama mara5 akupokea, badae nkagundua kumbe alivunja simu na line sjiui kanikomoa au kajikomoa yeye au ndo utoto au ndo udogo ktk mapenzi.

Je huyu binti ananipenda au magumashi?

Tafadhali ushauri jamani.
 
Marahaba,kueni tu ukikua utajua tu jibu la swali lako la kitoto,sawaee
 
shkamooni wakubwa zangu wadogo zangu maraaba,mimi nikijana nna miaka23 nna mpenz wangu mpaka sasa ni miez mi3 niko nae tatizo lake nisipompigia cm au sms walau sku mbili basi ujue ni shida kama leo kakaake kanipigia cm ananambia mbona.......anapasua cm uku hom nkamwambia misjui chochote baadae nkapga cm iliita kama mara5 akupokea badae nkagundua kumbe alivunja cm na line sjui kanikomoa au kajikomoa yeye au ndo utoto au ndo udogo ktk mapenz ananipenda au magumashi tafazali ushauri jamani.

marhaba.......huo sio upendo ni ukichaa......
jaribu kumchunguza....je kipindi cha mawingu huwa yupo sawa........?....na usipoangalia vizuri anaweza kukung'ata.........
 
Hasira hasara....Inaonekana huyo mchuchu wako yupo high tempered...Asije kukudhuru mpaka wewe tu...
 
ukampigia cm ikaita hakupokea, kumbe kavunja lain na cm! Mh, we dogo na ww pasua tu hyo mchuchu ebu fatilia utabain k2 sio bure
 
alaf dada huyu ndo anajiandaa na mtian wa form4 mwez wa11sasa mda kama u ndo anatakiwa kuchachamaa na maxomo badala yake anajchanganya na mapenz saiz nanmemwambia kabisa akifeli simtaki kabisa we ngoja
 
Ama kwel kua uyaone pole mwaya jarbu kumchunguza vzur na waswas km yko mentally oky hyo!
 
ulimpigia cm mara tano haikupokelewa, then ukagundua amevunja cm!?...unamaanisha aliivunja sehem gani had ukitafuta inaita?
 
marahabaaa! maliza masomo kwanza wewe unasafari ndefu sana kuwa makini
 
alaf dada huyu ndo anajiandaa na mtian wa form4 mwez wa11sasa mda kama u ndo anatakiwa kuchachamaa na maxomo badala yake anajchanganya na mapenz saiz nanmemwambia kabisa akifeli simtaki kabisa we ngoja

teh teh teh kwahiyo umemwekea ngumu sio.. safi sana,umeweza
 
Afu anashirikiana na kaka'ke?
Dotcom raha sana, mie enzi zangu kaka akihisi hata umesalimiwa na kivulana ana uwezo wa kukukata mmiguu. Leo hii kaka anarekebisha tu?

dawa yake kakae bila simu mwezi mzima ndo atajua kuwa la mujer de mivida wanaact tu....
 
shkamooni wakubwa zangu wadogo zangu maraaba,mimi nikijana nna miaka23 nna mpenz wangu mpaka sasa ni miez mi3 niko nae tatizo lake nisipompigia cm au sms walau sku mbili basi ujue ni shida kama leo kakaake kanipigia cm ananambia mbona.......anapasua cm uku hom nkamwambia misjui chochote baadae nkapga cm iliita kama mara5 akupokea badae nkagundua kumbe alivunja cm na line sjui kanikomoa au kajikomoa yeye au ndo utoto au ndo udogo ktk mapenz ananipenda au magumashi tafazali ushauri jamani.

sasa kama anakupenda sana kwanini asikupigie cm kukujulia hali? lazima uwe unapiga wewe kila siku?
na yeye awe anakupigia cm kama unaumwa, umelazwa hospital bado umpigie cm wewe kwa kuhofia itatokea kivumbi?
huo ni utoto...mfanyie counseling za kutosha!!!
 
MDESI Kakaake alinpigia akasema she wako mbona anaharibu cm sasa kaka akakata nkapiga mimi kwa kaka akasema she wako analalamika eti umpigiagi baada ya apo wakaikusanya ile cm betri na line ndo akarudishiwa cm yake sasa nkampigia she wangu mara5 hakupokea badae kakake akapga akasema tmeirudishia ile cm kumbe ndo kaipasua kabisa mdesi umeona?
 
Back
Top Bottom