Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,024
Daaah Me tunapitia mengi sana, hakika tunapaswa kujifunza kwa mengi na kumwomba sana Mungu atusaidie tuendelee vyema kimaisha [emoji4][emoji2960]K inazindikwa, ukichomeka hapo hutoki; inawezekana ikawa hivyo mkuu, siombi mechi tena, akitaka nitamwambia kitendea kazi changu kimepata ajali