Anatafutwa.
Tafadhali sambaza ujumbe huu, na Mungu akubariki.
Jina:Sweet Martin.
Jinsi: Mwanamke.
Umri: miaka kati ya 29 hadi 33.
Alizaliwa Kanda ya Ziwa, inasemekana ni Mkoani Kigoma, wakati baba yake, Martin M. Mmassy, alikuwa anafanya kazi railway, Kigoma.
Baba yake ni mwenyeji wa Moshi.
Mama yake ni mtu wa Kanda ya Ziwa, na baada ya baba kuhamishwa kikazi, Sweet alibaki na mama yake.
Sweet inasemekana amewahi kusoma Uganda.
Amewahi kuwa na mawasiliano na shangazi yake, Justina M. Mmassy, ila toka shangazi afariki, mwaka 2010, mawasiliano kati ya Sweet na upande wa baba yake yalipotea.
Wadogo zake, Joseph Martin Mmassy, Simon Martin Mmassy, Jackline Martin Mmassy, wanahitaji kuwasiliana naye ili kujua alipo huyu ndugu yao, na kufahamiana.
Mawasiliano: +255 713 35 0489
Email: josephmmassy@gmail.com.
Tafadhali sambaza ujumbe huu. Mwenyezi Mungu akubariki sana.