Mh! yule muongo kila kitu anajua,m nampenda sana ayoub yule bwana mrekebisha watu anatupia kitambaa kama yesu.Moja ya vipindi vichache vya kibongo navyoweza kuangalia
Halafu kuna yule muongo..
Mh! yule muongo kila kitu anajua,m nampenda sana ayoub yule bwana mrekebisha watu anatupia kitambaa kama yesu.
hahahaha maneno kumi.....yule abaejifanyaga anajua kila kitu mwishowe anakuja kuomba jero akanue mihogo