Huyu Chura wa aina gani?

Huyu Chura wa aina gani?

Huku kwetu vyura wa hivi wanaishigi ardhini tu hata mwaka mzima tunapolimaga ndio tunawaonaga
 
Wanaitwa Poison Dart Frog, pale anapovimba ndio hutoa sumu yake mgongoni, sumu yake hutumiwa sana na wawindaji kuweka kwenye mishale.

Wananunuliwa kwa bei ghali, fursa hiyo.
 
Huyo chura wa kawaida tu huwa anaishi sehemu yenye majimaji hasa kwenye mabonde ndiyo maeneo anayopatikana.
Huyo chura sio wa kawaida ni chura mwenye sumu sana. na sumu hiyo inakaa kwenye ngozi. mtoto akimchezea akalamba mikono ni hatari sana. maana sumu hiyo ukimpa maziwa ndio unaikoleza sawasawa . ni vyema kuwaelimisha watoto wasiwachezee na wakae nao mbali kabisa. wapo wenye mistari ya njano na wengi wanavutia sana
 
Chura.. huyu ukimgusa anavimba na kusimamia kucha.. ni hatari sana.. ana hasira sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimkuta ndani mida ya saa nane usiku,nilimpiga Sana kwa ufagio,tulibishana Sana nikawa namrekodi na picha,
Nikaenda kuwaonesha wenzangu kesho yake asubuhi walinishangaa Sana,
Wengine wakanisihi nikatoe sadaka kanisani kwa kunusurika na kifo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao mliowachezea sisi tumevulia sana samaki Kama chambo.tuliwaita ngele.Waliovuavua mto Rau na mazingira ya moshi wanaelewa.lakini sio huyo.
 
Red_andF_Black_Walking_Frog_1.jpg


huyo ni RED BLACK WALKING FROG Kitaalam anaitwa Phrynomantis bifasciatus
Yupo kwenye jamii ya Poisonous Frogs, lakini sio muda wote anakua na sumu!! Na unaweza ukamshika na usipatwe na madhara yoyote!
 
Back
Top Bottom