Huyu binti simuelewi

Huyu binti simuelewi

mr mkwawa

Senior Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
146
Reaction score
295
Habari zenu wanajamii wenzangu.

Nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na hyu binti kama mwaka na miezi kadhaa. Ila sijawahi mgusa, na kila nikiomba uwa anasema nisubiri, hii hali imenichosha sasa maana tumekuwa tukipeana romance sana tu ila ikifika suala la kushiriki tendo amekuwa ataki kabisa kwa kusema bado mda.

Sasa nmechoka kusubiri nmemwambia kama hataki kunipa mchezo basi mimi na yeye itakuwa ni mwisho.

Mwanzo alidhan natania kumbe mm nko serious na maamuzi yangu imepita week 2 saiv nmekaa kimya simtafuti na hata yeye akinitafuta simpi ushirikiano wowote.

Kwahyo saiv anaomba nisimuache bado ananihitaji na kunipenda sana ila bado yupo na msimamo wake wa kutoshiriki tendo na mm mpaka mda utakapofika.

Kwahyo hapa nmebaki dielema nisubirie au niachane naye japo bado nampenda sana.
 
Stuka mkuu yaani demu akianza mapigo hayo sijui mimi bikra au tusubiri ndoa mi sijiulizi mara mbili we unabaniwa kuna mwamba anapelekewa mpaka kaichoka halafu na mizinga anapiga mkuu haphapo sio pa kukaa.
 
Acha nicheke kdgo 🤣🤣🤣🤣 huo muda wa romance km mpo wawili tumia hata nguvu kikubwa kama hapigi kelele unategemea akuambie atakupa mzee usiombe kwa lugha bali kwa vitendo. Mtu unampiga romance kinyama unashindwaje kumalizia kazi hiyo.
 
Acha nicheke kdgo huo muda wa romance km mpo wawili tumia hata nguvu kikubwa kama hapigi kelele unategemea akuambie atakupa mzee usiombe kwa lugha bali kwa vitendo. Mtu unampiga romance kinyama unashindwaje kumalizia kazi hiyo..
Kaka sio rahisi hivyo unavyofikiria
 
Kaka sio rahisi hivyo unavyofikiria
Sawa sio rahisi ila nimekuambia kama anakuja faragha sehemu mpo wawili tu tumia umwanaume wako vzr. Kikubwa asipige kelele.. ukizubaa atapasuliwa na wengine akuletee dharau kinyama
 
Back
Top Bottom