Huyu binti kanikera naomba ushauri

Huyu binti kanikera naomba ushauri

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Mimi ni mwanaume (40yrs) mwenye mke wangu na watoto wawili. Nina uhusiano pia na binti wa miaka 26. Tumekaa na huyu binti kama mwaka ila nikagundua pia kuna kijana ana uhusiano nae, baada ya kufuatilia nika prove na huyu binti akakubali kwa point kwamba huyu kijana atamuoa. Nikawa mkali lakini ilifika muda nikakubali ila nami nilikuwa napewa huduma ya ngono kama kawaida. Siku tatu zilizopita nilitoka na huyu binti tukawa tuko sehemu ila simu yake ikawa inapigwa kila saa lakini akawa anamdaganya yule mtu. Kumuuliza akasema ni mtu ana biashara naye. Tulivyokuwa room akiwa amenogewa simu ikapigwa tena na mimi nikaichukua kuangalia simu inayoita ame save MY LOVE. Tulivyomaliza shughuli nikambana aseme akasema huyu anataka kumuoa wakati siyo yule mwengine kwani nilijaribu kama kutuma mpesa nikaona jina ni tofauti na yule mwengine. naye akakiri kwamba ni mwingine na wakati yule wanyuma bado yuko naye. Sasa huyu binti ni kwamba ana wanaume wa3 permanent, aisee ina maana ratio ya kutiwa hapa ni at least mara 6 kwa wiki. Sasa ananiomba msamaha je wana JF nisamehe? Kweli binti ni mzuri na hata mzigo anatoa vizuri sana.
 
kaka we wa ajabu kweli mwizi kakutana na mwizi mwenzie anaitia mwizi mtakamatwa wote maisha ni kudanganyana kama hapo sasa hao wenzio ni wale uliobahatika kuwafahamu je hao ambao huwafahamu kimeo
 
kaka we wa ajabu kweli mwizi kakutana na mwizi mwenzie anaitia mwizi mtakamatwa wote maisha ni kudanganyana kama hapo sasa hao wenzio ni wale uliobahatika kuwafahamu je hao ambao huwafahamu kimeo

Ni kweli kabisa, du yani kweli ni vutuko mimi sijui ana manage vipi kupanga wanaume hivyo

  • :majani7:

 
Sasa kama vipi rudi kwa mkeo!
Sijui kama una kumbuka kutumia kinga! Achana na huyo binti atakupa zawadi ya virus bure ukashindwa kulea familia yako!
 
ulivyomuacha mkeo ulitegemea nini?
Mko wangapi haikuhusu ukitaka wa peie yako tulia kwa mkeo....... La sivyo mkeo atapewa mzigo nje kama unavyopewa wewe.....

Kukushauri tu kwa huyo binti fata kinachokupeleka...... Ana wangapi hayakuhusu
 
Jamani hili zee lina laana ati kwanza ni jizi kwa mkewe arafu linatuomba msaada kwa ushenzi linaofanya.Kwa kweli limenitibua sana haya ndo yanatusumbua sisi vijana kwa kutupa UKIMWI.we mzee unajiita kijana kwa kweli unastahili lawama na mitusi sio ushauri kama unavyodai kwenye thread yako.Shenzi mkubwa yaani ningekuwa karibu yako ningekupa na konzi la conclusion aiseeee.KWELI TZ BILA UKIMWI HAIWEZEKANI KABISA.
 
Jamani hili zee lina laana ati kwanza ni jizi kwa mkewe arafu linatuomba msaada kwa ushenzi linaofanya.Kwa kweli limenitibua sana haya ndo yanatusumbua sisi vijana kwa kutupa UKIMWI.we mzee unajiita kijana kwa kweli unastahili lawama na mitusi sio ushauri kama unavyodai kwenye thread yako.Shenzi mkubwa yaani ningekuwa karibu yako ningekupa na konzi la conclusion aiseeee.KWELI TZ BILA UKIMWI HAIWEZEKANI KABISA.

Mimi sijui vijana mnafanya nini mana hawa wabinti wadogo wanapenda kutoka na sisi wazee, mimi sijui mtapaje wachumba nyie
 
Mimi sijui vijana mnafanya nini mana hawa wabinti wadogo wanapenda kutoka na sisi wazee, mimi sijui mtapaje wachumba nyie

hahahahahaaaaa....

Vijana hawawahongi.....

Vijana wana mziki mnene, watatoka hadi jasho laa kwapa kwenye kuduu wakati wazee kimoja tu katosheka...cha pili mpaka akitafuteeeeeeeeeeee na kinaweza kisije

vijana wasumbufu si umeona mwenyewe kutwa kupiga simu....wakati mzee humtafuti ukirudi kwako uko busy na mkeo.....
 
hahahahahaaaaa....

Vijana hawawahongi.....

Vijana wana mziki mnene, watatoka hadi jasho laa kwapa kwenye kuduu wakati wazee kimoja tu katosheka...cha pili mpaka akitafuteeeeeeeeeeee na kinaweza kisije

vijana wasumbufu si umeona mwenyewe kutwa kupiga simu....wakati mzee humtafuti ukirudi kwako uko busy na mkeo.....

Aisee dozi nilikuwa nampatia ya kueleweka tu
 
mwache binti wa watu apate wake wa kumuoa. wewe nenda katulizane na mkeo.kwanza utkuwaje na wivu kwa vitu vya kuiba.
 
mwache binti wa watu apate wake wa kumuoa. wewe nenda katulizane na mkeo.kwanza utkuwaje na wivu kwa vitu vya kuiba.

mapenzi ya small house yana wivu mkali kuliko yale ya nyumba kubwa au ulikwa hujui hilo..
 
Back
Top Bottom