jamani wana JF najua humu kuna watu waelewa sana, hivi huyu beatrice shellukindo anamlengo gani? i mean ndani ya CCM anamatakwa gani? adui zake ni nani? je baba yke aliwah kuwa nani? na yeye alikua ndani ya Chama. na je huyo beatrice shllkndo yupo katika kambi ya nani? km nliskia hv eti alitaka kuongeza auasi.