Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,683
- 106,798
Mzee Wa mika 60+ unamwita pal??He is a pal, ma pal huwa hatuamkiani zaidi ya "mambo", "poa"
P
Hii ni tusi kabisa
Mzee Wa mika 60+ unamwita pal??He is a pal, ma pal huwa hatuamkiani zaidi ya "mambo", "poa"
P
He is a pal, ma pal huwa hatuamkiani zaidi ya "vipi mambo", "poa".Hua unamuamkia lemutuz?
Kwenye pals, age ain't nothing but a number, kwani unaujua umri wangu?.Mzee Wa mika 60+ unamwita pal??
Hii ni tusi kabisa
Unamtega Paskali?Mzee Wa mika 60+ unamwita pal??
Hii ni tusi kabisa
Mkuu naona unaruka viunzi..Kwenye pals, age ain't nothing but a number
P
SOMA KWA UTULIVU UTAELEWA mkuu, SWALI NI KUWA JOHN PIA ANAITWA WILLIUM KAMA MWANAE? PIA NIKAULIZA ni Ajabu ya Mzee Rajabu kuzaa mtoto na kumwita Rajabu? yaani ni hivi ngona nikutafunie: Willium Malecela Lemutuz babake pia anaitwa Willium?
siruki viunzi bali mimi ni realist, siku zote naongea ukweli, ukweli ndio huo.Mkuu naona unaruka viunzi..
Hukamatiki.
Mwele Malecela sio mwanae?
Sorry nilimchanganya kumuita Seche, ni Mwele.Mwele Malecela sio mwanae?
Yuko vizuri kwenye swala la ubaharia,anasema alipitisha Meli bermuda triangle kwa wepesi bila kupata mkanganyiko kitu ambacho mabaharia wakongwe hawakiwezi kutokana na sehemu hiyo kuwa ni hatari duniani kupitisha chombo.Jana nimemsikia LEMUTUZ aka LE MZEMBE aka LE MUBABAZ aka LE MSAMBWANDA akiwa radio Uhuru akijisifu kuwa ni baharia SUGU.
kuwa hata meli zikipata shida yeye anakaa posta serikali ikihitaji msaada wake wamuite,ila yuko njema sekta ya ubaharia
Sorry nilimchanganya kumuita Seche, ni Mwere.
P
Yuko vizuri kwenye swala la ubaharia,anasema alipitisha Meli bermuda triangle kwa wepesi bila kupata mkanganyiko kitu ambacho mabaharia wakongwe hawakiwezi kutokana na sehemu hiyo kuwa ni hatari duniani kupitisha chombo.
Haha naskia alizamia meli ya wagiriki...kilichotokea kinajulikanaYuko vizuri kwenye swala la ubaharia,anasema alipitisha Meli bermuda triangle kwa wepesi bila kupata mkanganyiko kitu ambacho mabaharia wakongwe hawakiwezi kutokana na sehemu hiyo kuwa ni hatari duniani kupitisha chombo.
Kwenye mambo ya meli yuko vizuri, hata kunapotokea ajali za vyombo vya majini, serious media huwa zinamtafuta kupata his expert opinionYuko vizuri kwenye swala la ubaharia,anasema alipitisha Meli bermuda triangle kwa wepesi bila kupata mkanganyiko kitu ambacho mabaharia wakongwe hawakiwezi kutokana na sehemu hiyo kuwa ni hatari duniani kupitisha chombo.
Chaajabu anayekula posho ya mzee ni yule dogo wa kambo wa kiume anaitwa Nyange mjini anasugua mbususu tu.Facts are stubborn things, Le Mutuz ndie mtoto wa kwanza wa kiume wa Mzee JS Malecela. Baada ya Le Mutuz, Mzee JSM alipata watoto wengine wawili wa kiume, Senyagwa na Ipyana ambapo both are deceased, hivyo William, Le Mutuz ndio the only heir to Mzee JSM, wengine ni mabinti wawili Dr. Mwele na Jaji Mwendwa. Mimi nimesoma primary class moja na Mwendwa, kisha nikasoma sekondari moja na kaka na dada, Senyagwa na Mwele, wao wakiwa A level mimi nikiwa O-level
P
Kiafrika mtoto ni mtoto tuu, hatuna cha mtoto wa kambo wala mtoto wa nje wote ni watoto tuu.Chaajabu anayekula posho ya mzee ni yule dogo wa kambo wa kiume anaitwa Nyange mjini anasugua mbususu tu.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kuna yule Dr ceche aliyekua anatoa elimu ya covid kwenye social media ndio huyo mweleFacts are stubborn things, Le Mutuz ndie mtoto wa kwanza wa kiume wa Mzee JS Malecela. Baada ya Le Mutuz, Mzee JSM alipata watoto wengine wawili wa kiume, Senyagwa na Ipyana ambapo both are deceased, hivyo William, Le Mutuz ndio the only heir to Mzee JSM, wengine ni mabinti wawili Dr. Mwele na Jaji Mwendwa. Mimi nimesoma primary class moja na Mwendwa, kisha nikasoma sekondari moja na kaka na dada, Senyagwa na Mwele, wao wakiwa A level mimi nikiwa O-level
P