Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Nimepitia taarifa nyingi juu ya tiba zitolewazo a huyu Babu wa Loliondo....................mlionyeshewa mvua zake hebu mtupashe habari...................zaidi ..................................hivi kweli yupo Mwenyezi Mungu kwenye tiba tajwa?????????????????
Daktari: Mgonjwa Loliondo amepona Ukimwi Send to a friend Monday, 14 March 2011 21:40
Mussa Juma, Loliondo na Deusdedit Moshi, Dodoma
DAKTARI Joachiam Mbosha wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Ngorongoro ya Wasso, amethibitisha kuwa mmoja wa wagonjwa wa Ukimwi aliyekwenda kutibiwa kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile, maarufu kwa jina la 'Babu', huko Samunge, Loliondo amepona Ukimwi.
Wilia John Lengume (30), juzi alikuwa kivutio kwa mamia ya watu baada ya kutangazwa na Mchungaji Mwasapile kwenye ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Usharika wa Sonjo iliyoshirikisha mamia ya watu. Akizungumza katika ibada hiyo, Mchungaji Mwasapile alisema Lengume ndiye aliyekuwa mgonjwa wa kwanza kumtibu.
Akizungumza na Mwananchi kanisani hapo, Lengume alisema baada ya mumewe, John Meneyi Lengume kufariki dunia mwaka 2002, aliamua kwenda kupima na kuonekana kuwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) lakini baada ya kutumia dawa hiyo alisema sasa hana tena virusi vya Ukimwi. Alisema kwa muda mrefu mama huyo alikuwa akitumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo (ARV) katika Kituo cha Afya Didodigo wilayani Ngorongoro.
Akizungumza na Mwananchi jana kuhusu kupona kwa mama huyo, Dk Mbosha alisema: "Hiki kitu kilituchanganya sana, nakumbuka mimi ndiye nilimpima mwaka jana... ikabidi niwaeleze watu wa maabara Hospitali ya Wasso ili wafuatilie aliyempima awali huyu mama na nilimweleza aache kutumia dawa kwani hana HIV," alisema Dk Mbosha.
Dk Mbosha alisema alihamishiwa katika kituo hicho cha Afya cha Digodigo zaidi ya mwaka mmoja uliopita na alimkuta mama huyo akiendelea kuhudhuria kliniki na kupata ARV pamoja na ushauri wa kulinda afya yake lakini alianza kuona mabadiliko makubwa ya afya yake na ndipo alipoamua kumpima tena.
Aliamua kumpima mwaka jana baada ya kuona 'CD4' (kinga za mwili) zake zinaimarika kiasi cha kutohitaji kuendelea kutumia dawa hizo za kupunguza makali.Aliamua kumhoji kujua siri iliyokuwa imejificha katika mabadiliko hayo ambayo alisema yalikuwa ya haraka haraka mno na ndipo alipomweleza kwamba alipata tiba kutoka kwa Mchungaji Mwasapile.
Lengume alisema licha ya mumewe kufariki, mtoto wao mmoja pia alifariki dunia lakini baada ya kutumia dawa ya Mchungaji Mwasapile, maisha yake ni mazuri na ana mtoto mwingine mchanga anayeitwa Evelyn ... "Namshukuru Mungu na Mchungaji Mwasapile sasa nimepona na ninaishi maisha mazuri tu."Alisema baada ya kuanza kuugua, mchungaji huyo, ndiye aliyemfuata na kumuomba amtibu akimthibitishia kwamba atapona maradhi yaliyokuwa yakimsibu.Hata hivyo, kitalaamu bado haijathibitika kupatikana kwa tiba wala chanjo ya Ukimwi.
Ushuhuda wa Mzee Mtaki
Mwingine aliyejitangaza kupata ahueni kubwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsibu baada ya kupata tiba ya mchungaji huyo ni aliyewahi kuwa waziri katika Serikali ya Awamu ya Kwanza, Mzee Ali Said Mtaki.Mzee Mtaki (81) ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Mpwapwa katika miaka ya 1980, Mkuu wa Mikoa ya Dodoma na Singida kwa nyakati tofauti, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mbunge wa Afrika Mashariki na kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Usharika Mkoa wa Dodoma, alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya kutetemeka kiasi cha kushindwa kutembea na kuzungumza vizuri.
Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake Mtaa wa Nyerere Mjini Dodoma, Mzee Mtaki alisema tangu anywe dawa ya mchungaji huyo Jumanne ya wiki iliyopita huko Loliondo, sasa anaendelea kupata nafuu siku hadi siku.
Akiongea kwa kujiamini alisema sasa anajiona kama amepona na anaweza kuendelea na shughuli zake ikiwamo ya uwakala wa bima... "Si unaona nilikuwa natembea kwa shida, kuzungumza kwa taabu, sasa hali yangu ni nzuri nafanya kila kitu bila kusaidiwa."Akielezea safari yake ya siku mbili ambayo ilimfikisha kijijini Samunge, Loliondo anasema alifuatana na mkewe, Amina Mtaki ambaye naye alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari na mgongo. Anasema naye pia amepona.
Anasema safari ya kutoka Dodoma hadi Samunge iliwagharimu Sh60,000 kila mmoja na baada ya kufika huko walikuta umati mkubwa wa watu ukisubiri kupata tiba hiyo. Anasema aliwakuta watu wa mataifa mbalimbali, Waafrika, Wahindi, Wazungu na Waarabu... "Watu walikuwa wengi na kila mtu na matatizo yake lakini Mchungaji alikuwa akiwasisitizia kwamba habagui watu na haangalii dini au uwezo wa mtu."
"Katika mkusanyiko huo nilibahatika kukutana na Askofu Thomas Laizer wa KKKT, Dayosisi ya Kaskazini Kati akiwa amefuatana na mama wa kizungu. Nilikaa karibu na mama yule wa kizungu ambaye sikumbuki jina lake. Nilimshika Askofu Laizer mkono tukasalimiana na kuongozana naye kuelekea kwa Mchungaji Ambilikile."
"Tulipofika kwa Mchungaji, Askofu Laizer akamwambia mchungaji kwamba ana wageni wake, hivyo mama yule wa kizungu akapewa dawa na mimi pia nikapewa na mke wangu akapewa pamoja na kijana wangu japo yeye hakuwa na tatizo lolote la kiafya."
Last Updated on Tuesday, 15 March 2011 08:54 Comments
123456
0 #80 Brighton Mbowe 2011-03-15 20:19 JUMBE UNASEMA "Jana niliongea na watu wawili ambao jamaa zao walienda kwa Babu. Mmoja dada yake alikua na ukimwi na ni mkazi wa Karatu baada ya kunywa dawa ya babu akaacha tiba na ameshafariki. Yeye alikua wale wa mwanzo kwenda kwa babu. Mwingine jamaa yake ana pressure amekunywa maji na ameacha tiba hivi yuko taabani amelazwa hospitali. hapa tunasemaje?" Mimi mwenzio rafiki yangu yupo mahututi tangu jana. aliacha ARV zaidi ya wiki kwa kuamini dawa ya babu
Quote
0 #79 Malaika wa Duniani 2011-03-15 20:15 Hiyo yote ni PROPAGANDA tu. Mnajua huko WEST AFRICA mambo haya ni COMMON sana.
imefikia hadi RAISi wa GAMBIA anadai kuwa anatibu AIDS/ aondoa virusi HIV.
Loooh Jamani hizi ni CAMPAIGNi na propaganda nasi hapa tunaiga za Africa Magharibi. HAMUONI kuwa kuna mikakati maalumu na mchezo mkubwa wa kuwatafuna waliyo DESPERATE people. Kunafungu la wajanja wemesuka network hii na hatimaye kunufaika na kufaidisha mradi wao huu ili kujiandaa na UCHAGUZI ujao 2011. " mutaniambia ya kweli baadaye...tusubiri mtaona!!
Quote
0 #78 hezron Lus 2011-03-15 20:10 YES @Tunaishi nyakati za mwisho. Neno la Mungu linasema waziwazi kuwa nyakati za mwisho zitakuwa ni siku za hatari, hatari kubwa inayomaanishwa hapa ni watu kujitenga na imani na kufuata roho zidanganyazo – 1Tim. 4:1.
Biblia pia inasema, nyakati hizi za mwisho watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama inawezekana, hata walio wateule – Mt.24:23-24. Ibilisi anahangaika kuwapeleka watumishi wake wengi kwa lengo na kuwavuta na kuwapoteza watu wasikae katika mapenzi ya Mungu, ili hatimaye wakataliwe na Mungu. Kwa sababu hiyo basi, tunapaswa kuwa makini sana na mambo yote yanayotokea nyakati hizi.
Kwa sasa hivi, kwa sababu kanisa bado halijanyakuliwa , mpinga kristo bado hajafunuliwa. Lakini roho yake tayari inatenda kazi. Neno la Mungu linasema kuwa kutenda kazi kwa roho ya mpinga kristo kunaambatana na ishara na ajabu za uongo ili kuwavuta na kuwapoteza wanadamu – 2Thes. 2:7-12, Uf.13:11-14.
Kwa hiyo ndugu zangu, tunapaswa kuwa makini sana katika kila jambo, tusiwe wepesi wa kuchulikwa na kila upepo unaovuma. Hata kama mtu atasema kuwa anatumiwa na Mungu, bado hatupaswi kuwa wepesi wa kukubaliana naye.GOOD!!!!!!!!!!! !!
Quote
0 #77 hezron Lus 2011-03-15 20:02 HII SAFI SAANA"kama waandishi wahabari mnawajibu wa kutoa habari zenye ukweli na mantiki ya hali ya juu kwa jamii na si kupotosha jamii, naamini mlikuwa na wajibu wakufuatilia uhakika wa hii habari yenu kwa kina sana, mfano je wilaya ya ngorongoro ina wagonjwa wangapi wa HIV? je wangapi wanatumia ARV? Je wangapi wameacha ARV na kwenda kwa mchungaji kunywa hiyo dawa? na Je wangapi kati hao waliokunywa wamepona? na wangapi wamekufa baada ya kuacha ARV?
Quote
0 #76 Kalumanzila 2011-03-15 20:01 Quoting mie:
Quote
-1 #75 Kalumanzila 2011-03-15 19:51 We unaonekana ni mdini sana. Kichwa cha habari kinaelezea uthibitisho wa Dr juu ya habari za huyo mama.Sasa mwananchi swala la udini wameandika wapi? Mi nafikiri uwe unachangia vitu vya msingi sio kila ukichangia unataka kuhusisha dini.Kuhusu Maabara kwa taarifa yako hata hao madocta wa hospital wanaenda kama hujui.Quoting 2pak hitem all:
+1 #74 zubeda 2011-03-15 19:43 Binadamu lazima atakufa, hivyo swali kuu ni je dawa inaponyesha magonjwa sugu yaliyotajwa?
Tukumbuke mgonjwa wa UKIMWI au AIDS hali zao huwa mbaya kama pia wanasumbuliwa na majonjwa nyemelezi mfano nimoniya,ini kuharibika kwa hepatatis B na C,kaswende ya ubongo n.k
Babu kataja magonjwa sugu yanayoweza kutibiwa hapo Loliondo, lakini kuna mtu anaweza kuwa na HIV pamoja na magonjwa mengine kibao ambayo hayatibiwi na Babu.
Hivyo hao waliokufa ama siku zao zimefika au wagonjwa wa UKIMWI walikuwa pia na magonjwa nyemelezi ambayo hayatibiki kwa dawa ya Babu.
Suala hapa ni kuwa kama una virusi vya HIV na hauna magonjwa hatari nyemelezi Babu anasema virusi vya HIV zitapotea na wewe kuwa HIV Negative.
Quote
0 #73 wamjinia 2011-03-15 19:34 si chuki binafsi bali shetwani anafanya kazi ndani yao, maana shetwani halali analandalanda masaa 24 akitafuta watu wake wamfanyie kazi. mungu ameamua kuleta huruma yake ni kama alivyomtoa mwanae wa pekee ili kila amwaminiye asipotee bali apate uzima wa milele.
Quote
0 #72 wamjinia 2011-03-15 19:27 asante mungu kwa kutuletea tiba yako ya ajabu!
Quote
+1 #71 sadiky Bota 2011-03-15 18:55 Hizi niporojo, je hukusikia babu anaombea dawa kabla ya kunywesha watu! nadhani wewe bado una ugonjwa wa kidhehebu, unadhani unaposali tu ndiko kuliko sahihi, na siyo ajabu kwani Kakobe naye anadhani hivyo, baada ya kuhiji eti babu kaokoka!Hamuami ni madhehebu yote isipokuwa mlipo. Nikukumbushe kitu!hayo madhehebu mliyopo ndani yamekuja juzi tu. sidhani kama ni zaidi ya miaka 100. sasa wote waliokufa kabala hawataona mbinu kwa sababu eti hwakuokoka!?[
@Senior E na wengine wenye imani haba.Mungu hana kanuni ya kuponya, je kwani yaesu hakuwahi kuchanganya mate yake na udongo na kisha kumpaka kipofu na baadae kupona!?na je hapakuwahi kuwa na jemadari wa jeshi la israeli nyakati zile aliye amriwa na nabii akajichovye mara saba kwenye maji ya mto jordan na akapona ukoma wake!Je hiyo siyo hiyo biblia. Tafadhali tusitumie ushawishi kupotosha watu na kupoteza imani za watu kwa kudai ni siku za mwisho.
Pili kwa wale wanasayansi wanaosema it has to be proven in the lab"as far as I know, science has never proven anything". Kama una imani nenda kwa babu kapate dawa. Lipi bora!kuwa na imani na kupona au na hata kutokupona , au kutokuwa na imani na hatimaye kufaaa!Wasio wagonjwa ndio wanao mkandia babu. Laiti kama mngekuwa kwenye hali ya ugonjwa....je mngendelea kusema...nyakati za mwisho...huo mwisho umeuona wewe.....????
Quote
+1 #70 Thobias 2011-03-15 18:45 Tuna mshukuru Muumba aliyekufumbulia karama hiyo na tunakutakia kheri na fanaka katika kuwahudumia watu hao ambao wamekuwa wakitaabika katika maisha yao kwa siku nyingi. Mwenyezi Mungu akuongoze vema " BABU."
Quote
+1 #69 Kibandula 2011-03-15 18:42 #65 2pak hitem all-Imani na mahabara? Are you ok up there?
#65 2pak hitem all-You have ADD (Attention Defiency Disorder). Kanisa halihusiki ili walioppona ndio wanajitangazia.
#63 jah man-Huna mungu ila shetani na malaika zake ni majini.
Quote
+1 #68 Jumbe 2011-03-15 18:30 Jana niliongea na watu wawili ambao jamaa zao walienda kwa Babu. Mmoja dada yake alikua na ukimwi na ni mkazi wa Karatu baada ya kunywa dawa ya babu akaacha tiba na ameshafariki. Yeye alikua wale wa mwanzo kwenda kwa babu. Mwingine jamaa yake ana pressure amekunywa maji na ameacha tiba hivi yuko taabani amelazwa hospitali. hapa tunasemaje?
Quote
0 #67 sadiky Bota 2011-03-15 18:30 Hizi niporojo, je hukusikia babu anaombea dawa kabla ya kunywesha watu! nadhani wewe bado una ugonjwa wa kidhehebu, unadhani unaposali tu ndiko kuliko sahihi, na siyo ajabu kwani Kakobe naye anadhani hivyo, baada ya kuhiji eti babu kaokoka!Hamuami ni madhehebu yote isipokuwa mlipo. Nikukumbushe kitu!hayo madhehebu mliyopo ndani yamekuja juzi tu. sidhani kama ni zaidi ya miaka 100. sasa wote waliokufa kabala hawataona mbinu kwa sababu eti hwakuokoka!?[
Quote
0 #66 sadiky Bota 2011-03-15 18:20 @Senior E na wengine wenye imani haba.Mungu hana kanuni ya kuponya, je kwani yaesu hakuwahi kuchanganya mate yake na udongo na kisha kumpaka kipofu na baadae kupona!?na je hapakuwahi kuwa na jemadari wa jeshi la israeli nyakati zile aliye amriwa na nabii akajichovye mara saba kwenye maji ya mto jordan na akapona ukoma wake!Je hiyo siyo hiyo biblia. Tafadhali tusitumie ushawishi kupotosha watu na kupoteza imani za watu kwa kudai ni siku za mwisho.
Pili kwa wale wanasayansi wanaosema it has to be proven in the lab"as far as I know, science has never proven anything". Kama una imani nenda kwa babu kapate dawa. Lipi bora!kuwa na imani na kupona au na hata kutokupona , au kutokuwa na imani na hatimaye kufaaa!Wasio wagonjwa ndio wanao mkandia babu. Laiti kama mngekuwa kwenye hali ya ugonjwa....je mngendelea kusema...nyakati za mwisho...huo mwisho umeuona wewe.....????
Quote
123456
Refresh comments list
Daktari: Mgonjwa Loliondo amepona Ukimwi Send to a friend Monday, 14 March 2011 21:40
DAKTARI Joachiam Mbosha wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Ngorongoro ya Wasso, amethibitisha kuwa mmoja wa wagonjwa wa Ukimwi aliyekwenda kutibiwa kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile, maarufu kwa jina la 'Babu', huko Samunge, Loliondo amepona Ukimwi.
Wilia John Lengume (30), juzi alikuwa kivutio kwa mamia ya watu baada ya kutangazwa na Mchungaji Mwasapile kwenye ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Usharika wa Sonjo iliyoshirikisha mamia ya watu. Akizungumza katika ibada hiyo, Mchungaji Mwasapile alisema Lengume ndiye aliyekuwa mgonjwa wa kwanza kumtibu.
Akizungumza na Mwananchi kanisani hapo, Lengume alisema baada ya mumewe, John Meneyi Lengume kufariki dunia mwaka 2002, aliamua kwenda kupima na kuonekana kuwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) lakini baada ya kutumia dawa hiyo alisema sasa hana tena virusi vya Ukimwi. Alisema kwa muda mrefu mama huyo alikuwa akitumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo (ARV) katika Kituo cha Afya Didodigo wilayani Ngorongoro.
Akizungumza na Mwananchi jana kuhusu kupona kwa mama huyo, Dk Mbosha alisema: "Hiki kitu kilituchanganya sana, nakumbuka mimi ndiye nilimpima mwaka jana... ikabidi niwaeleze watu wa maabara Hospitali ya Wasso ili wafuatilie aliyempima awali huyu mama na nilimweleza aache kutumia dawa kwani hana HIV," alisema Dk Mbosha.
Dk Mbosha alisema alihamishiwa katika kituo hicho cha Afya cha Digodigo zaidi ya mwaka mmoja uliopita na alimkuta mama huyo akiendelea kuhudhuria kliniki na kupata ARV pamoja na ushauri wa kulinda afya yake lakini alianza kuona mabadiliko makubwa ya afya yake na ndipo alipoamua kumpima tena.
Aliamua kumpima mwaka jana baada ya kuona 'CD4' (kinga za mwili) zake zinaimarika kiasi cha kutohitaji kuendelea kutumia dawa hizo za kupunguza makali.Aliamua kumhoji kujua siri iliyokuwa imejificha katika mabadiliko hayo ambayo alisema yalikuwa ya haraka haraka mno na ndipo alipomweleza kwamba alipata tiba kutoka kwa Mchungaji Mwasapile.
Lengume alisema licha ya mumewe kufariki, mtoto wao mmoja pia alifariki dunia lakini baada ya kutumia dawa ya Mchungaji Mwasapile, maisha yake ni mazuri na ana mtoto mwingine mchanga anayeitwa Evelyn ... "Namshukuru Mungu na Mchungaji Mwasapile sasa nimepona na ninaishi maisha mazuri tu."Alisema baada ya kuanza kuugua, mchungaji huyo, ndiye aliyemfuata na kumuomba amtibu akimthibitishia kwamba atapona maradhi yaliyokuwa yakimsibu.Hata hivyo, kitalaamu bado haijathibitika kupatikana kwa tiba wala chanjo ya Ukimwi.
Ushuhuda wa Mzee Mtaki
Mwingine aliyejitangaza kupata ahueni kubwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsibu baada ya kupata tiba ya mchungaji huyo ni aliyewahi kuwa waziri katika Serikali ya Awamu ya Kwanza, Mzee Ali Said Mtaki.Mzee Mtaki (81) ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Mpwapwa katika miaka ya 1980, Mkuu wa Mikoa ya Dodoma na Singida kwa nyakati tofauti, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mbunge wa Afrika Mashariki na kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Usharika Mkoa wa Dodoma, alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya kutetemeka kiasi cha kushindwa kutembea na kuzungumza vizuri.
Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake Mtaa wa Nyerere Mjini Dodoma, Mzee Mtaki alisema tangu anywe dawa ya mchungaji huyo Jumanne ya wiki iliyopita huko Loliondo, sasa anaendelea kupata nafuu siku hadi siku.
Akiongea kwa kujiamini alisema sasa anajiona kama amepona na anaweza kuendelea na shughuli zake ikiwamo ya uwakala wa bima... "Si unaona nilikuwa natembea kwa shida, kuzungumza kwa taabu, sasa hali yangu ni nzuri nafanya kila kitu bila kusaidiwa."Akielezea safari yake ya siku mbili ambayo ilimfikisha kijijini Samunge, Loliondo anasema alifuatana na mkewe, Amina Mtaki ambaye naye alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari na mgongo. Anasema naye pia amepona.
Anasema safari ya kutoka Dodoma hadi Samunge iliwagharimu Sh60,000 kila mmoja na baada ya kufika huko walikuta umati mkubwa wa watu ukisubiri kupata tiba hiyo. Anasema aliwakuta watu wa mataifa mbalimbali, Waafrika, Wahindi, Wazungu na Waarabu... "Watu walikuwa wengi na kila mtu na matatizo yake lakini Mchungaji alikuwa akiwasisitizia kwamba habagui watu na haangalii dini au uwezo wa mtu."
"Katika mkusanyiko huo nilibahatika kukutana na Askofu Thomas Laizer wa KKKT, Dayosisi ya Kaskazini Kati akiwa amefuatana na mama wa kizungu. Nilikaa karibu na mama yule wa kizungu ambaye sikumbuki jina lake. Nilimshika Askofu Laizer mkono tukasalimiana na kuongozana naye kuelekea kwa Mchungaji Ambilikile."
"Tulipofika kwa Mchungaji, Askofu Laizer akamwambia mchungaji kwamba ana wageni wake, hivyo mama yule wa kizungu akapewa dawa na mimi pia nikapewa na mke wangu akapewa pamoja na kijana wangu japo yeye hakuwa na tatizo lolote la kiafya."
Last Updated on Tuesday, 15 March 2011 08:54 Comments
123456
0 #80 Brighton Mbowe 2011-03-15 20:19 JUMBE UNASEMA "Jana niliongea na watu wawili ambao jamaa zao walienda kwa Babu. Mmoja dada yake alikua na ukimwi na ni mkazi wa Karatu baada ya kunywa dawa ya babu akaacha tiba na ameshafariki. Yeye alikua wale wa mwanzo kwenda kwa babu. Mwingine jamaa yake ana pressure amekunywa maji na ameacha tiba hivi yuko taabani amelazwa hospitali. hapa tunasemaje?" Mimi mwenzio rafiki yangu yupo mahututi tangu jana. aliacha ARV zaidi ya wiki kwa kuamini dawa ya babu
Quote
0 #79 Malaika wa Duniani 2011-03-15 20:15 Hiyo yote ni PROPAGANDA tu. Mnajua huko WEST AFRICA mambo haya ni COMMON sana.
imefikia hadi RAISi wa GAMBIA anadai kuwa anatibu AIDS/ aondoa virusi HIV.
Loooh Jamani hizi ni CAMPAIGNi na propaganda nasi hapa tunaiga za Africa Magharibi. HAMUONI kuwa kuna mikakati maalumu na mchezo mkubwa wa kuwatafuna waliyo DESPERATE people. Kunafungu la wajanja wemesuka network hii na hatimaye kunufaika na kufaidisha mradi wao huu ili kujiandaa na UCHAGUZI ujao 2011. " mutaniambia ya kweli baadaye...tusubiri mtaona!!
Quote
0 #78 hezron Lus 2011-03-15 20:10 YES @Tunaishi nyakati za mwisho. Neno la Mungu linasema waziwazi kuwa nyakati za mwisho zitakuwa ni siku za hatari, hatari kubwa inayomaanishwa hapa ni watu kujitenga na imani na kufuata roho zidanganyazo – 1Tim. 4:1.
Biblia pia inasema, nyakati hizi za mwisho watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama inawezekana, hata walio wateule – Mt.24:23-24. Ibilisi anahangaika kuwapeleka watumishi wake wengi kwa lengo na kuwavuta na kuwapoteza watu wasikae katika mapenzi ya Mungu, ili hatimaye wakataliwe na Mungu. Kwa sababu hiyo basi, tunapaswa kuwa makini sana na mambo yote yanayotokea nyakati hizi.
Kwa sasa hivi, kwa sababu kanisa bado halijanyakuliwa , mpinga kristo bado hajafunuliwa. Lakini roho yake tayari inatenda kazi. Neno la Mungu linasema kuwa kutenda kazi kwa roho ya mpinga kristo kunaambatana na ishara na ajabu za uongo ili kuwavuta na kuwapoteza wanadamu – 2Thes. 2:7-12, Uf.13:11-14.
Kwa hiyo ndugu zangu, tunapaswa kuwa makini sana katika kila jambo, tusiwe wepesi wa kuchulikwa na kila upepo unaovuma. Hata kama mtu atasema kuwa anatumiwa na Mungu, bado hatupaswi kuwa wepesi wa kukubaliana naye.GOOD!!!!!!!!!!! !!
Quote
0 #77 hezron Lus 2011-03-15 20:02 HII SAFI SAANA"kama waandishi wahabari mnawajibu wa kutoa habari zenye ukweli na mantiki ya hali ya juu kwa jamii na si kupotosha jamii, naamini mlikuwa na wajibu wakufuatilia uhakika wa hii habari yenu kwa kina sana, mfano je wilaya ya ngorongoro ina wagonjwa wangapi wa HIV? je wangapi wanatumia ARV? Je wangapi wameacha ARV na kwenda kwa mchungaji kunywa hiyo dawa? na Je wangapi kati hao waliokunywa wamepona? na wangapi wamekufa baada ya kuacha ARV?
Quote
0 #76 Kalumanzila 2011-03-15 20:01 Quoting mie:
Quoting from loliondo mkazi:
sawasawa kabisa
Hivi hamuelewi? Sio wote watapona,ni wenye imani tu. Mimi nilikuwa naumwa vidonda(Nilipim a Amana Hospital)vya tumbo nikaenda kwa Dr Rahabu alinipa dawa kwa Tsh 250,000 kisha akaniambia utapona kwa nguvu za mungu. Kwa kuwa niliamini nimepona,Ila kwa taarifa yako kunawtu wanatumia hata 1,000,000 na hawaponi na dawa ni ile ile.Ama kweli nimeamin habari yenye nia mbaya inasambaa sana kuliko habari yenye nia nzuri,nyinyi gazeti mwananchi nyinyi kama wanahabari mbona mfuatiliii habari za watu wenye ukimwi hapohapo samunge na digodigo na karatu amabao wamekufa kwa baada ya kunywa hiyo dawa ya babu(mchungaji) kwa ufahamu wangu mimi kuna wagonjwa 13 wa ukimwi wamefaliki.
kama waandishi wahabari mnawajibu wa kutoa habari zenye ukweli na mantiki ya hali ya juu kwa jamii na si kupotosha jamii, naamini mlikuwa na wajibu wakufuatilia uhakika wa hii habari yenu kwa kina sana, mfano je wilaya ya ngorongoro ina wagonjwa wangapi wa HIV? je wangapi wanatumia ARV? Je wangapi wameacha ARV na kwenda kwa mchungaji kunywa hiyo dawa? na Je wangapi kati hao waliokunywa wamepona? na wangapi wamekufa baada ya kuacha ARV? WHAT YOU GUYS (MWANANCHI)HAVE DONE TO OUR COUNTRY ITS IRRESPONSIBLE JOURNALISM, SIO UNAMPIGIA MTU SIMU SAA TATU USIKU UNAJITAMBULISHA KAMA JAMAA YA MGONJWA AFU UNAMWUULIZA SWALA NYETI KAMA HILI AFU KESHO ASUBHUHI UMECHAPISHA HABARI KWENYE FRONT PAGE
NAOMBA TUWE MAKINI SANA HAPA ILE NI IMANI JE WASIOAMINI TUWAACHE WAFE? KWAN WAPO WENGI TU AMBAO WENYE HIV
kama waandishi wahabari mnawajibu wa kutoa habari zenye ukweli na mantiki ya hali ya juu kwa jamii na si kupotosha jamii, naamini mlikuwa na wajibu wakufuatilia uhakika wa hii habari yenu kwa kina sana, mfano je wilaya ya ngorongoro ina wagonjwa wangapi wa HIV? je wangapi wanatumia ARV? Je wangapi wameacha ARV na kwenda kwa mchungaji kunywa hiyo dawa? na Je wangapi kati hao waliokunywa wamepona? na wangapi wamekufa baada ya kuacha ARV? WHAT YOU GUYS (MWANANCHI)HAVE DONE TO OUR COUNTRY ITS IRRESPONSIBLE JOURNALISM, SIO UNAMPIGIA MTU SIMU SAA TATU USIKU UNAJITAMBULISHA KAMA JAMAA YA MGONJWA AFU UNAMWUULIZA SWALA NYETI KAMA HILI AFU KESHO ASUBHUHI UMECHAPISHA HABARI KWENYE FRONT PAGE
NAOMBA TUWE MAKINI SANA HAPA ILE NI IMANI JE WASIOAMINI TUWAACHE WAFE? KWAN WAPO WENGI TU AMBAO WENYE HIV
sawasawa kabisa
Quote
-1 #75 Kalumanzila 2011-03-15 19:51 We unaonekana ni mdini sana. Kichwa cha habari kinaelezea uthibitisho wa Dr juu ya habari za huyo mama.Sasa mwananchi swala la udini wameandika wapi? Mi nafikiri uwe unachangia vitu vya msingi sio kila ukichangia unataka kuhusisha dini.Kuhusu Maabara kwa taarifa yako hata hao madocta wa hospital wanaenda kama hujui.Quoting 2pak hitem all:
Yaleyale ushuhuda kanisani usanni mtupu.
Leteni ngoma maabara mzee apate tuzo ya ukweli.
Nanyie mwananchi kama mmeamua kuchukua kazi ya gazeti la kiongozi na nyakati bora mkae pembeni week nzima all most asilimia 75 habari ni za kanisa tu!
Quote Leteni ngoma maabara mzee apate tuzo ya ukweli.
Nanyie mwananchi kama mmeamua kuchukua kazi ya gazeti la kiongozi na nyakati bora mkae pembeni week nzima all most asilimia 75 habari ni za kanisa tu!
+1 #74 zubeda 2011-03-15 19:43 Binadamu lazima atakufa, hivyo swali kuu ni je dawa inaponyesha magonjwa sugu yaliyotajwa?
Tukumbuke mgonjwa wa UKIMWI au AIDS hali zao huwa mbaya kama pia wanasumbuliwa na majonjwa nyemelezi mfano nimoniya,ini kuharibika kwa hepatatis B na C,kaswende ya ubongo n.k
Babu kataja magonjwa sugu yanayoweza kutibiwa hapo Loliondo, lakini kuna mtu anaweza kuwa na HIV pamoja na magonjwa mengine kibao ambayo hayatibiwi na Babu.
Hivyo hao waliokufa ama siku zao zimefika au wagonjwa wa UKIMWI walikuwa pia na magonjwa nyemelezi ambayo hayatibiki kwa dawa ya Babu.
Suala hapa ni kuwa kama una virusi vya HIV na hauna magonjwa hatari nyemelezi Babu anasema virusi vya HIV zitapotea na wewe kuwa HIV Negative.
Quote
0 #73 wamjinia 2011-03-15 19:34 si chuki binafsi bali shetwani anafanya kazi ndani yao, maana shetwani halali analandalanda masaa 24 akitafuta watu wake wamfanyie kazi. mungu ameamua kuleta huruma yake ni kama alivyomtoa mwanae wa pekee ili kila amwaminiye asipotee bali apate uzima wa milele.
Quote
0 #72 wamjinia 2011-03-15 19:27 asante mungu kwa kutuletea tiba yako ya ajabu!
Quote
+1 #71 sadiky Bota 2011-03-15 18:55 Hizi niporojo, je hukusikia babu anaombea dawa kabla ya kunywesha watu! nadhani wewe bado una ugonjwa wa kidhehebu, unadhani unaposali tu ndiko kuliko sahihi, na siyo ajabu kwani Kakobe naye anadhani hivyo, baada ya kuhiji eti babu kaokoka!Hamuami ni madhehebu yote isipokuwa mlipo. Nikukumbushe kitu!hayo madhehebu mliyopo ndani yamekuja juzi tu. sidhani kama ni zaidi ya miaka 100. sasa wote waliokufa kabala hawataona mbinu kwa sababu eti hwakuokoka!?[
@Senior E na wengine wenye imani haba.Mungu hana kanuni ya kuponya, je kwani yaesu hakuwahi kuchanganya mate yake na udongo na kisha kumpaka kipofu na baadae kupona!?na je hapakuwahi kuwa na jemadari wa jeshi la israeli nyakati zile aliye amriwa na nabii akajichovye mara saba kwenye maji ya mto jordan na akapona ukoma wake!Je hiyo siyo hiyo biblia. Tafadhali tusitumie ushawishi kupotosha watu na kupoteza imani za watu kwa kudai ni siku za mwisho.
Pili kwa wale wanasayansi wanaosema it has to be proven in the lab"as far as I know, science has never proven anything". Kama una imani nenda kwa babu kapate dawa. Lipi bora!kuwa na imani na kupona au na hata kutokupona , au kutokuwa na imani na hatimaye kufaaa!Wasio wagonjwa ndio wanao mkandia babu. Laiti kama mngekuwa kwenye hali ya ugonjwa....je mngendelea kusema...nyakati za mwisho...huo mwisho umeuona wewe.....????
Quote
+1 #70 Thobias 2011-03-15 18:45 Tuna mshukuru Muumba aliyekufumbulia karama hiyo na tunakutakia kheri na fanaka katika kuwahudumia watu hao ambao wamekuwa wakitaabika katika maisha yao kwa siku nyingi. Mwenyezi Mungu akuongoze vema " BABU."
Quote
+1 #69 Kibandula 2011-03-15 18:42 #65 2pak hitem all-Imani na mahabara? Are you ok up there?
#65 2pak hitem all-You have ADD (Attention Defiency Disorder). Kanisa halihusiki ili walioppona ndio wanajitangazia.
#63 jah man-Huna mungu ila shetani na malaika zake ni majini.
Quote
+1 #68 Jumbe 2011-03-15 18:30 Jana niliongea na watu wawili ambao jamaa zao walienda kwa Babu. Mmoja dada yake alikua na ukimwi na ni mkazi wa Karatu baada ya kunywa dawa ya babu akaacha tiba na ameshafariki. Yeye alikua wale wa mwanzo kwenda kwa babu. Mwingine jamaa yake ana pressure amekunywa maji na ameacha tiba hivi yuko taabani amelazwa hospitali. hapa tunasemaje?
Quote
0 #67 sadiky Bota 2011-03-15 18:30 Hizi niporojo, je hukusikia babu anaombea dawa kabla ya kunywesha watu! nadhani wewe bado una ugonjwa wa kidhehebu, unadhani unaposali tu ndiko kuliko sahihi, na siyo ajabu kwani Kakobe naye anadhani hivyo, baada ya kuhiji eti babu kaokoka!Hamuami ni madhehebu yote isipokuwa mlipo. Nikukumbushe kitu!hayo madhehebu mliyopo ndani yamekuja juzi tu. sidhani kama ni zaidi ya miaka 100. sasa wote waliokufa kabala hawataona mbinu kwa sababu eti hwakuokoka!?[
Quote
0 #66 sadiky Bota 2011-03-15 18:20 @Senior E na wengine wenye imani haba.Mungu hana kanuni ya kuponya, je kwani yaesu hakuwahi kuchanganya mate yake na udongo na kisha kumpaka kipofu na baadae kupona!?na je hapakuwahi kuwa na jemadari wa jeshi la israeli nyakati zile aliye amriwa na nabii akajichovye mara saba kwenye maji ya mto jordan na akapona ukoma wake!Je hiyo siyo hiyo biblia. Tafadhali tusitumie ushawishi kupotosha watu na kupoteza imani za watu kwa kudai ni siku za mwisho.
Pili kwa wale wanasayansi wanaosema it has to be proven in the lab"as far as I know, science has never proven anything". Kama una imani nenda kwa babu kapate dawa. Lipi bora!kuwa na imani na kupona au na hata kutokupona , au kutokuwa na imani na hatimaye kufaaa!Wasio wagonjwa ndio wanao mkandia babu. Laiti kama mngekuwa kwenye hali ya ugonjwa....je mngendelea kusema...nyakati za mwisho...huo mwisho umeuona wewe.....????
Quote
123456
Refresh comments list