Tungeweza kusema Mungu si Binadamu kwa kumaanisha Mungu hana hulka za kibinadamu kama upendeleo, choyo, roho mbaya, usaliti, wivu na sifa nyingine hasi alizonazo Binadamu. Lakini tumemua kutumia jina Athumani kumuwakilisha Binadamu, sasa swali linakuja kwanini ni Athumani na sio Bashite? Me sijui