kabatimpya
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 231
- 214
Habarini wakuu.
Kila Siku mie huwa nataka kumfahamu Huyu bwana au bibi aitwae Athumani wengine humwita asumani ni NANI Ktk ulimwengu huu?
Huyu mheshimiwa anapenda sana kujitukuza na kujifananisha na muumba wetu MUNGU.
Mara kibao huwa nawasikia watu wakimshukuru mungu na mapambio ya kumkana huyo Athumani.
Unawasikia wakisema nimefanikiwa au nimeshinda kesi, nimepata hiki au kile nk na kusema MUNGU SI ASUMANI.
HUYO ATHUMANI ALISHINDANA NINI NA MUUMBA WETU?.
Nawaombeni mwenye kumuelewa anijuze.
Kila Siku mie huwa nataka kumfahamu Huyu bwana au bibi aitwae Athumani wengine humwita asumani ni NANI Ktk ulimwengu huu?
Huyu mheshimiwa anapenda sana kujitukuza na kujifananisha na muumba wetu MUNGU.
Mara kibao huwa nawasikia watu wakimshukuru mungu na mapambio ya kumkana huyo Athumani.
Unawasikia wakisema nimefanikiwa au nimeshinda kesi, nimepata hiki au kile nk na kusema MUNGU SI ASUMANI.
HUYO ATHUMANI ALISHINDANA NINI NA MUUMBA WETU?.
Nawaombeni mwenye kumuelewa anijuze.