Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwa jinsi huyu askari shupavu alivyo simamia uadilifu mbele ya kikao cha ccm siamini kama yupo kazini.
Hawa ndio watu wanahitajika kufanya kazi ndani ya jeshi letu maana nidhamu na ujasili wa kulinda maadili.
Tazameni alivyo simamia heshima ya jeshi lake la polis dhidi ya wahafidhina wa ccm.
Nampongeza sana huyu mpiganaji kwa kukataa kuburuzwa na wana siasa uchwara.
Hawa ndio watu wanahitajika kufanya kazi ndani ya jeshi letu maana nidhamu na ujasili wa kulinda maadili.
Tazameni alivyo simamia heshima ya jeshi lake la polis dhidi ya wahafidhina wa ccm.
Nampongeza sana huyu mpiganaji kwa kukataa kuburuzwa na wana siasa uchwara.