Huyu askari bado yupo kazini kweli?

Huyu askari bado yupo kazini kweli?

Wanajiona wao kuwa ndiyo kila kitu usishangae watu kama hao ndiyo wanakagua miradi ya serikali na kuwatishia wataalam kuwa watawafukuza kazi.

Yani wajinga Sana. MNEC kazi yake ni ndani ya CCM ila Sasa kwa sababu ya ujinga na ulimbukeni wa madaraka wanajiona wao ndio mawaziri wa kuweza kumdharilisha polisi namna ile.
 
Yani wajinga Sana. MNEC kazi yake ni ndani ya CCM ila Sasa kwa sababu ya ujinga na ulimbukeni wa madaraka wanajiona wao ndio mawaziri wa kuweza kumdharilisha polisi namna ile.
Wapuuzi sana na huwa nawadharau sana
 
Kwa jinsi huyu askari shupavu alivyo simamia uadilifu mbele ya kikao cha ccm siamini kama yupo kazini.

Hawa ndio watu wanahitajika kufanya kazi ndani ya jeshi letu maana nidhamu na ujasili wa kulinda maadili.

Tazameni alivyo simamia heshima ya jeshi lake la polis dhidi ya wahafidhina wa ccm.

Nampongeza sana huyu mpiganaji kwa kukataa kuburuzwa na wana siasa uchwara.View attachment 2636588
Umuhimu wa Katiba mpya Tz si jambo la mzaha! Ccm haina utu.
 
Hahahaha.....we jamaa feki kweli! Unalazimisha tu mpaka uiseme CDM, inahusikaje sasa hapa!!??
Hao ndiyo kati ya watu wasiyojua dunia inakwendaje maana wapo tu kwasababu wamejikuta wapo
 
Kaweke huo msimamo kwenye kikao cha Mbowe na genge lake uone kama utabaki
Inaonekana umebeba mimba yake Mr. Mbowe, mbona upo very bitter naye?,haipiti siku bila kuliandika jina lake humu,tatizo ni nini?,au unahitaji msaada usaidiwe?,Mr Mbowe ni mtanzania kama wewe, tofauti zenu za kiitikadi ni haki ya kikatiba ila wewe unaonekana una chuki binafsi na Mr.Mbowe why?,you need help inbox me au weka hapa usaidiwe
 
Kwa jinsi huyu askari shupavu alivyo simamia uadilifu mbele ya kikao cha ccm siamini kama yupo kazini.

Hawa ndio watu wanahitajika kufanya kazi ndani ya jeshi letu maana nidhamu na ujasili wa kulinda maadili.

Tazameni alivyo simamia heshima ya jeshi lake la polis dhidi ya wahafidhina wa ccm.

Nampongeza sana huyu mpiganaji kwa kukataa kuburuzwa na wana siasa uchwara.View attachment 2636588
Duh
 
Inaonekana umebeba mimba yake Mr. Mbowe, mbona upo very bitter naye?,haipiti siku bila kuliandika jina lake humu,tatizo ni nini?,au unahitaji msaada usaidiwe?,Mr Mbowe ni mtanzania kama wewe, tofauti zenu za kiitikadi ni haki ya kikatiba ila wewe unaonekana una chuki binafsi na Mr.Mbowe why?,you need help inbox me au weka hapa usaidiwe
Hawa watu ndiyo wapo tayari kumteka mtu na kwenda kumtupa mabwepande kisa yeye ni cdm
 
Hawa jamaa ni wajinga sana aisee wanajidai na wanajiona Miungu watu
 
Back
Top Bottom