ni kama anauliza unataka huku
Zote hizo ni nyama utamu ni ule ule, mengineyo ni mbwembwe tu.
acha kumkandya na wew! mtoto mzuri sana huyo, kwa nin wadada hampendi kukubali pale mnapozidiwa uzuri!....,anauza sura hapo akati amepata 0 kweny matokeo ya form four
Mkuu ndiyo maana nikasema mengine mbwembwe kikubwa ni kubwaga haja ndogo na kusepa.hakuna utamu ndio uleule
Kila moja ina ladha yake , nyengine ina chumvi zaidi nyengine ukieka chunguni tu inatowa maji zaidi nyengine mpaka utie viungo ndio ilainike iko ngumu muda wote