Wakuu......Watoto wametukosea heshima.. hizi fake IDs zinawapa kiburi,
Yaan unaomba ushauri kwa swala ambalo limekuzidii umri? ukimpa ujauzito unaweza ku handle? Au ndio nyinyi mnakimbia mimba?
UMENIUDHI SANA. UNDER 18 NA 18 MNAOMBA USHAURI WA KUZINI KWA BABA ZENU, KAKA ZENU NA MAMA ZENU, KWEEELI? hebu mfuate mzazi wako anaye kulipia ada na umwambie haya unayotuambia hapa.
Madhara ya movies, he wants to copy and paste western cultures, usikute hata haelewi what are the consequences of his actions sema ili tu apate umaarufu kijiweni bas anaforce simply bcz kila mtu mtaani anamtaman huyo grl
me nampenda sana hyu dem
kufanya mapenzi
Yaaan ametukosea heshima sana
Aah nataman angekuwa karbu tumfundishe nidhamu. Haaaa
yuko masomon kakaKasome!
yuko masomon kaka