aibu wapi ndugu yangu! Kama hadi mkuu anakula bilion 95 ulitaka wenyewe wafanyeje??yaaani hata aibu haioni hii midude
aibu wapi ndugu yangu! Kama hadi mkuu anakula bilion 95 ulitaka wenyewe wafanyeje??
Huyo dereva ni ndugu yake hivyo mambo ya kupeana mshiko hadharani kama hivi sio tatizo maana hata maboss wao wanajua.
umemuona dogo anachungulia? lakini ndo utafanyaje na unataka kuwahi uendako
Huyo anachukua buku 2 hapo na si zaidi ya hapo