huyu anachukua nini?

hashycool

JF-Expert Member
Oct 2, 2010
6,555
2,829
rushwa.jpg
 
Wewe naona unataka yakutokee ya jerry muro, hao ni miungu huwa hatuwasemi tz bwana, wanaua na hiyo ndo kazi yao.
 
Ha ha ha ha,unakuta kapokea mia tano...........si mbaya!kama kuna wanaopokea za bilioni 100 na ushee ni huyu dogo hapo???:car:
 
Ha ha ha ha,unakuta kapokea mia tano...........si mbaya!kama kuna wanaopokea za bilioni 100 na ushee ni huyu dogo hapo???:car:

umemuona dogo anachungulia? lakini ndo utafanyaje na unataka kuwahi uendako
 
umemuona dogo anachungulia? lakini ndo utafanyaje na unataka kuwahi uendako

Huyo dogo utakuwa wewe,manake hupitwi??kwani huwezi ona wakubwa wanafanya jambo ukaangalia pembeni Hashy????kweli,saa nyingine abiria wanasema mpe tuishie bana!:Cry:
 
Kwa mara ya kwanza umetoa thread ya isiyo...........jinsia ka yangu.....................lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom